GET /api/v0.1/hansard/entries/1570373/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1570373,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1570373/?format=api",
    "text_counter": 264,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Kinyua",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Ninasema hivi kwa sababu Sen. Mungatana alipokuwa akichangia alisema ya kwamba waliokuja nyuma wameleta kuchanganya yaliyokuwa yamezungumziwa hapo asubuhu. La hasha! Si kuchanganya; ni kuleta mwamko mpya, fikira na nguvu mpya. Watu wanapojadiliana, Wazungu husema ni mjinga tu asiyebadilisha mawazo. Wanaoleta mawazo mapya hata wao wanapaswa kusikilizwa."
}