GET /api/v0.1/hansard/entries/1625485/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1625485,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1625485/?format=api",
    "text_counter": 236,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Kinyua",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Ibara ya 37 ya Katiba ya Kenya inakubali maandamano ya amani. Inavunja moyo sana ukiona watu wanaandamana wengine kwa amani ilhali kuna wahuni. Jambo la kuvunja moyo zaidi ukitembea Nanyuki – kwa sababu kulikuwa na maandamano ya Saba Saba - msichana wa miaka 24 ambaye ni Julia Njoki alishikwa, akapelekwa kortini na kuhukumiwa. Kwa njia isiyojulikana alifia katika seli."
}