GET /api/v0.1/hansard/entries/162606/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 162606,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/162606/?format=api",
    "text_counter": 591,
    "type": "other",
    "speaker_name": "",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Tunaamini kwamba hatua ya haraka itachukuliwa ili wale wote ambao walifyonza Halmashauri ya Pareto katika Taifa la Kenya na kuwaletea wakulima umaskini mkubwa watiwe ndani mara moja!"
}