GET /api/v0.1/hansard/entries/175382/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 175382,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/175382/?format=api",
    "text_counter": 166,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Bi Leshomo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "alimuuliza Waziri wa Maji na Unyunyizaji:- (a) anachukua hatua gani kuhakikisha kuwa mabwawa yaliyozibwa na mchanga katika Wilaya ya Samburu yamerekebishwa; na, (b) Serikali ina mipango gani kuchimba visima katika eneo hilo ili kukomesha shida ya ukosefu wa maji."
}