GET /api/v0.1/hansard/entries/190314/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 190314,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/190314/?format=api",
    "text_counter": 30,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Ms. Leshomo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "Bw. Spika, nimeshtuka sana kusikia kwamba Waziri Msaidizi hana jibu ilhali watu wanakufa na mali yao kuibwa. Watoto wameacha shule. Hakuna mtoto aliye shuleni katika tarafa hizo zote. Pia watoto wanakufa. Tarehe 1 Julai, 2008, nililia machozi nilipopigiwa simu kwamba watu wanakufa. Je, Serikali ina mpango gani kusimamisha vita hivyo? Kwa wakati huu, kuna njaa huko. Watu wanakufa na ng'ombe wanaibwa. Je, tutaelekea wapi?"
}