GET /api/v0.1/hansard/entries/208499/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 208499,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/208499/?format=api",
    "text_counter": 139,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Mukiri",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 334,
        "legal_name": "Mukiri Macharia",
        "slug": "mukiri-macharia"
    },
    "content": "Bw. Naibu Spika, ninaweza kufanya hivyo, ingawa Wizara ya Ardhi wanalielewa hili jambo na walisema kwamba watachukua hatua. Hili ni mojawapo ya mashamba yaliyokuwa katika Ripoti ya Ndung'u. Lakini hiyo inawezekana."
}