GET /api/v0.1/hansard/entries/213864/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 213864,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/213864/?format=api",
    "text_counter": 58,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Mwandawiro",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 253,
        "legal_name": "Mwandawiro JD Mghanga",
        "slug": "mwandawiro-mghanga"
    },
    "content": "Bw. Spika, tatizo la watu kujeruhiwa hata kuuawa na wanyama wa porini kama vile nyoka, ndovu, simba na fisi ni halisi na linaendelea sana, hasa katika Wilaya ya Taita-Taveta. Je, Wizara ina mipango gani halisi ya kuwafidia watu mara moja wakati wamekumbwa na tatizo kama hilo? Hesabu ya Kshs200,000 hazitoshi kumfidia binadamu ambaye amejeruhiwa na mnyama ama kuuawa?"
}