GET /api/v0.1/hansard/entries/238951/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 238951,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/238951/?format=api",
    "text_counter": 111,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Dzoro",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 247,
        "legal_name": "Morris Mwachondo Dzoro",
        "slug": "morris-dzoro"
    },
    "content": "Bw. Naibu Spika, ningeomba tushirikiane na Waheshimiwa pamoja na wananchi. Kuna sheria kabambe ambayo inamruhusu mtu kuwasilisha ombi lake. Ikiwa hawapati majibu, basi wawasiliane na Wizara yangu na tutawasaidia vile inavyotakikana."
}