GET /api/v0.1/hansard/entries/256007/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 256007,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/256007/?format=api",
    "text_counter": 75,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Mwandawiro",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 253,
        "legal_name": "Mwandawiro JD Mghanga",
        "slug": "mwandawiro-mghanga"
    },
    "content": "Bw. Spika, umemsikia mhe. Obwocha akisema kwamba chama cha FORD(P) kinapatikana katika pande mbili humu Bungeni; kiko upande wa Upinzani na upande wa Serikali. Huo ni ukweli. Suluhu ambayo mimi napendekeza ni kwamba hizo nafasi zipatiwe wale Wabunge wa FORD(P) ambao wako upande wa Upinzani."
}