GET /api/v0.1/hansard/entries/291817/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 291817,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/291817/?format=api",
    "text_counter": 442,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Mwatela",
    "speaker_title": "The Assistant Minister for Education",
    "speaker": {
        "id": 103,
        "legal_name": "Andrew Calist Mwatela",
        "slug": "andrew-mwatela"
    },
    "content": " Bw. Spika, hili ni Bunge la wananchi wa Kenya. Tunapokosoana, ni vizuri tukosoane kikamilifu pande zote mbili kwa maanae hata katika upande ule mwingine kuna waheshimiwa Wabunge ambao ni walegevu."
}