GET /api/v0.1/hansard/entries/371190/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 371190,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/371190/?format=api",
    "text_counter": 255,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. Huka",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 2240,
        "legal_name": "Mohamed Adan Huka",
        "slug": "mohamed-adan-huka"
    },
    "content": "Asante kwa kunipatia nafasi hii Mhe. Naibu Spika. Ninasimama kuunga mkono Hoja hii si kwa sababu haya ni mambo mapya ambayo yameletwa. Kuna methali ambayo inasema: “Baniani mbaya kiatu chake dawa.” Hii inamaanisha kwamba hata kama Hoja hii imeletwa na CORD, ina faida kwa Jubilee kwa sababu Serikali ya Jubilee ni Serikali ya kusema na kutenda."
}