GET /api/v0.1/hansard/entries/398088/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 398088,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/398088/?format=api",
    "text_counter": 223,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. (Ms.) Leshoomo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "Asante sana mhe Naibu Spika wa Muda. Mimi pia naunga mkono Hoja hii. Ningesema tu ukweli ni kwamba hawa homeguard s ama policereservists ni askari ambao sisi tuko nao. Askari wa Serikali ni wachache. Wengine pia wanachunga maeneo wanakopelekwa, na ndio maana tunamshukuru Mhe Lentoimaga kwa kuleta Hoja hii; kwa kweli eneo lake linahitaji hawa askari wa nyumbani. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}