GET /api/v0.1/hansard/entries/474825/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 474825,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/474825/?format=api",
    "text_counter": 42,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. Wario",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 252,
        "legal_name": "Ali Wario",
        "slug": "ali-wario"
    },
    "content": "Pili, makurutu waliambiwa wakimbie. Huu ni mwezi mtukufu wa Ramadhan. Ikiwa hii ndio mbinu inatumika kujua kurutu bora na hali wengine walikuwa wamefunga; je walikimbia sawa na wale ambao hawakuwa wamefunga? Je, hii si ilikuwa dhulma kwa Waislamu?"
}