GET /api/v0.1/hansard/entries/526611/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 526611,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/526611/?format=api",
    "text_counter": 112,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. Waititu",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 1618,
        "legal_name": "Francis Munyua Waititu",
        "slug": "francis-munyua-waititu"
    },
    "content": "Juzi nilimwona mhe. Muchai kwa runinga akiongea ukweli; alisema kuwa alikokuwa akifanya kazi, yaani katika COTU, kulikuwa na watu ambao walikuwa wanataka kumuua. Sisi kama Bunge la 11 hatutafanya kazi kama wakenya wanauwawa na hakuna kitu ambacho kinafanyika."
}