GET /api/v0.1/hansard/entries/536842/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 536842,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/536842/?format=api",
"text_counter": 160,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Boy Juma Boy",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 758,
"legal_name": "Boy Juma Boy",
"slug": "boy-juma-boy"
},
"content": "Bw. Spika, namshukuru. Mwaka “19 vua kofia” ni kutoka 1900 mpaka leo. Yaani kutoka hiyo miaka ilipoanza mpaka leo, hakuna mabadiliko yoyote, hali ni ile ile ya kutoka 1900 mpaka 2015; hali haibadiliki. Ndio maana tunasema The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}