GET /api/v0.1/hansard/entries/61965/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 61965,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/61965/?format=api",
    "text_counter": 154,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Ms. Leshomo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "alimuuliza Waziri wa Uchukuzi:- (a) kama ana habari kwamba uwanja mdogo wa ndege wa Baragoi katika Wilaya ya Samburu Kaskazini uko katika hali mbaya; na, (b) hatua atakayochukua kuhakikisha kuwa uwanja huo umerekebishwa."
}