GET /api/v0.1/hansard/entries/756008/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 756008,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/756008/?format=api",
    "text_counter": 57,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. Mohamed Ali",
    "speaker_title": "The Member for Nyali",
    "speaker": {
        "id": 13398,
        "legal_name": "Amin Deddy Mohamed Ali",
        "slug": "amin-deddy-mohamed-ali"
    },
    "content": "Mhe. Naibu wa Spika, licha ya Hoja zote zilizotajwa majuzi na Rais – Hoja za Kenya na Ukenya ndani yetu – ningelipenda pia kuchukua fursa hii kuomba Bunge hili, chini ya uangalizi wako, katika siku za usoni kuwa makini na kutunga sheria kali dhidi ya walanguzi wa dawa za kulevya."
}