GET /api/v0.1/hansard/entries/7635/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 7635,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/7635/?format=api",
    "text_counter": 298,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Bw. Kutuny",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 61,
        "legal_name": "Joshua Serem Kutuny",
        "slug": "joshua-kutuny"
    },
    "content": "auliza Waziri wa Barabara:- (a) Serikali imeweka lami barabara zipi katika Eneo Bunge la Cherang’any tangu mwaka wa 2000, (b) Serikali itakarabati lini na kuhakikisha barabara ya Maili Saba- Kaplamai-Kachibora-Kapcherop inapitika, na; (c) ana mipango gani maalum ya kutengeneza barabara zote katika Eneo Bunge la Cherang’any ambazo hazipitiki kamwa kufuatia uharibifu mkuu ulioletwa na mvua nyingi ya hivi majuzi."
}