GET /api/v0.1/hansard/entries/776016/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 776016,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/776016/?format=api",
    "text_counter": 275,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Hon. Ali Sharif",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 2100,
        "legal_name": "Shariff Athman Ali",
        "slug": "shariff-athman-ali"
    },
    "content": "Nikizungumza kwamba kuna nyumba imepigwa alama ya “X” na kuvunjwa, haijavunjwa, wala hakuna ilani yoyote. Ninataka kuhakikishia watu wa Lamu Mashariki wasiwe na hofu yoyote . Hakuna nyumba inavunjwa na Serikali iko pamoja na wao. Sidhani kama kutakuwa na maswala kama hayo. Maendeleo yapo na tumeyaona."
}