GET /api/v0.1/hansard/entries/85216/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 85216,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/85216/?format=api",
    "text_counter": 207,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Kutuny",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 61,
        "legal_name": "Joshua Serem Kutuny",
        "slug": "joshua-kutuny"
    },
    "content": "Bw. Naibu Spika wa Mda, inasikitisha sana kwamba wakulima wamepewa kisogo na Serikali. Kwa sasa, wakulima wanafanya kilimo-biashara – siyo kilimo cha kuzalisha chakula peke yake – lakini inasikitisha kwamba Serikali imepunguza bei ya mahindi kutoka Kshs2,500 kwa gunia la kilo 90 mwaka uliopita mpaka Kshs1,500 hivi sasa. Waziri Msaidizi, afua ni mbili: Utangaze kwamba mtaongeza bei ifike Kshs2,500 kwa gunia ama ninakupatia ilani kwamba sisi, kama Wabunge, tutaitisha maandamano ya wakulima katika taifa la Kenya; watasusia kupeana mahindi yao kwa Serikali. Tayari Serikali imetangaza kwamba mwako ujao kutakuwa na---"
}