GET /api/v0.1/hansard/entries/90468/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 90468,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/90468/?format=api",
"text_counter": 102,
"type": "speech",
"speaker_name": "Bi. Leshoomo",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 379,
"legal_name": "Maison Leshoomo",
"slug": "maison-leshoomo"
},
"content": "alimuuliza Waziri wa Barabara:- (a) kama ana habari ya kwamba barabara ya Rumuruti- Maralal haipitiki kwa sasa; na, (b) hatua ambayo Serikali itachukua ili kuhakikisha kwamba barabara hiyo imewekwa lami."
}