GET /api/v0.1/hansard/entries/922058/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 922058,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/922058/?format=api",
"text_counter": 70,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Omogeni",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13219,
"legal_name": "Erick Okong'o Mogeni",
"slug": "erick-okongo-mogeni"
},
"content": "Bw. Spika, nimeskia Seneta mwenzangu kutoka Kaunti ya Narok akisema kwamba yeye anachangia Mswada. Hakuna Mswada, ila tunachangia Taarifa ambayo imeombwa na Sen. Khaniri wa Kaunti ya Vihiga. Kwa hivyo, nataka kumweleza kuwa tunajadili taarifa sio Mswada."
}