GET /api/v0.1/hansard/entries/922489/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 922489,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/922489/?format=api",
    "text_counter": 155,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Malalah",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13195,
        "legal_name": "Cleophas Wakhungu Malalah",
        "slug": "cleophas-wakhungu-malalah-2"
    },
    "content": "kinaheshimika na kueleweka, sio Kiswahili cha kuongea maneno ambayo hayaeleweki. Ningependa kuwaonya wenzetu ambao wanatoka Pwani kwamba watumie Kiswahili rahisi ambayo inaeleweka. Asante, Bw. Spika."
}