GET /api/v0.1/hansard/entries/998738/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 998738,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/998738/?format=api",
"text_counter": 87,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Faki",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13211,
"legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
"slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
},
"content": "Kutoka kwa Waziri mpaka madaktari wanachukulia kuwa yule anayeugua COVID-19 kama mtu anayeugua ugonjwa ambao haufai kuwa katika ulimwengu wetu. Watu hao wanabaguliwa na hawaruhusiwi kufanya jambo lolote kwa sababu kuna hatari ya kuambukiza watu wengine."
}