HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=132",
"previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=130",
"results": [
{
"id": 1301,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1301/?format=api",
"text_counter": 291,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Hassan",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 398,
"legal_name": "Yusuf Hassan Abdi",
"slug": "yusuf-hassan-abdi"
},
"content": "Kupitia kwa vitendo vyake, Serikali inatumia uwezo wake kuwakandamiza, kuwakanyaga na kuwaumiza zaidi wakaazi wa vitongoji hivi vya Nairobi. Nyumba nyingi zilibomolewa katika maeneo mengi na watu wengi kuwachwa bila makao. Sasa watu hawa ni maskini zaidi kuliko vile walivyokuwa kabla ya ubomoaji huu kufanyika."
},
{
"id": 1302,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1302/?format=api",
"text_counter": 292,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Hassan",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 398,
"legal_name": "Yusuf Hassan Abdi",
"slug": "yusuf-hassan-abdi"
},
"content": "Bi. Naibu Spika wa Muda, ni jambo la kusikitisha kuona Serikali yetu ikitumia nguvu dhidi ya maskini hohe hahe na kubomoa nyumba zao na bila kujali maslahi yao. Waliotekeleza kazi hii walionyesha unyama na ukatili wa kupindukia. Hawakujali hali ya maisha ya watu wa kawaida, akina mama na watoto. Kwa nini Serikali hii haijali maslahi ya wananchi maskini? Kama kweli inajali maslahi ya watu wake, kwa nini ichukue hatua ambazo kila wakati zinaumiza mwananchi wa kawaida? Ni muhimu Serikali yetu ichukue hatua za dharura kurekebisha makosa yaliyofanyika. Ingawa Hoja hii haijishughulishi na maisha ya watu wa kawaida, kuna watu wengi walioachwa bila makao. Kwa nini Serikali isihudumie watu hawa na kuwapa makao? Wakati huo watu hawa wanalala nje na familia zao. Sote tunajua kuna baridi sana nje. Watu hawa wanateseka sana. Ninaiomba Serikali hii kuiheshimu Katiba yetu inayowapa wananchi wote haki sawa. Ningependa kuishukuru Kamati hii kwa maoni yake kuwa watu wa kitongoji cha Kiambiu wana haki kuwa pale na wasitimuliwe bila kupatiwa makao mapya na Serikali hii. Mimi kama mhe. Mbunge wa Eneo la Kamukunji ninakubaliana na maoni haya. Wakati umefika kwa sisi kutunga sheria zitakazolinda haki za watu maskini wa jiji hili na wale wengine waliobomolewa nyumba zao. Ni muhimu kama vile Hoja hii inavyopendekeza Serikali iwafidie walioathirika kwa kuwapa ardhi ambapo watajenga nyumba zao upya. Hii ni kwa sababu walitumia mali na rasimali zao kujenga nyumba zilizombolewa. Bi. Naibu Spika wa Muda, Wakenya wengi wanaoishi nje ya nchi hii wangependa kuleta rasilimali zao hapa ili kuinua uchumi wetu. Lakini haya yatawezakanaje ikiwa wanaona kwenye runinga zetu matingatinga ya Serikali yakibomoa nyumba za watu wake? Je, watakubali kuja kuwekeza mali yao hapa? Ni muhimu kwa sisi kuwatia moyo Wakenya hawa ili wawezekuleta pesa zao hapa ili tuimarishe uchumi wetu na tuwe na maendeleo mengi hapa nchini."
},
{
"id": 1303,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1303/?format=api",
"text_counter": 293,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Hassan",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 398,
"legal_name": "Yusuf Hassan Abdi",
"slug": "yusuf-hassan-abdi"
},
"content": "Kwa hayo machache, Bi Naibu Spika wa Muda, ninaunga mkono Hoja hii."
},
{
"id": 1304,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1304/?format=api",
"text_counter": 294,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": " Madam Temporary Deputy Speaker, I stand to support this Motion."
},
{
"id": 1305,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1305/?format=api",
"text_counter": 295,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": "First, I would like to take this opportunity to thank the Committee for the good work it has done. I am still a very sad woman today. I still remember what happened in Syokimau. Even as I speak now, one of the Assistant Ministers in this Government, hon. Kajembe, has been hurt by the police who were demolishing houses in Mombasa. Are we Members of Parliament or Assistant Ministers in this Government becoming an endangered species?"
},
{
"id": 1306,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1306/?format=api",
"text_counter": 296,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": "Madam Temporary Deputy Speaker, there is a land rush in Mavoko. Everybody is yearning to own land in Athi River. Land has appreciated in Athi River. So, everybody wants a piece of land in Athi River. However, this has caused a lot of problems to our people. If I mention the number of pieces of land that I have problems with in Athi River, you will not believe it. We have Syokimau, the holding ground for sheep and goats, the Numerical Machining Complex land, the East African Portland land and the City cotton land. People grabbed land in Athi River and sold it to innocent Kenyans who are now building their houses. There is something that is very wrong in this country with regard to land issues. I am glad I saw the Minister for Lands. He is already doing something, but we need to do more. I urge this Government to respect its own law. We cannot make the law and, at the same time, break it. When we have cases pending in the courts, the Government should not take any action until these cases are determined. Let this Government respect our courts."
},
{
"id": 1307,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1307/?format=api",
"text_counter": 297,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": "Madam Temporary Deputy Speaker, I am very sad about the Syokimau notice. Syokimau is a very big area. That notice that was put on Syokimau affected so many people. The people who live in the proper Syokimau did not know that their houses were going to be demolished. That also caused a lot of emotions and trauma to these people. The notice to demolish houses in Syokimau should have been very clear. It should have stated which part of Syokimau was earmarked for demolition. I want to make it very clear that I do not own any land in Syokimau. However, my father owns a piece of land there. He owns land in the proper Syokimau. Syokimau is a society that was established long time ago even before I was born."
},
{
"id": 1308,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1308/?format=api",
"text_counter": 298,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": "Madam Temporary Deputy Speaker, Sir, the demolitions that took place were so inhumane. The Government did not even give notice to the owners of those houses. They just moved in and started demolishing. Their households were destroyed. They are now starting a new life."
},
{
"id": 1309,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1309/?format=api",
"text_counter": 299,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": "Madam Temporary Deputy Speaker, I do not want to talk a lot. However, I want this Government to compensate my people. Where do they want them to go now after their houses were demolished?"
},
{
"id": 1310,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1310/?format=api",
"text_counter": 300,
"type": "speech",
"speaker_name": "Ms. Ndeti",
"speaker_title": "The Assistant Minister for Youth Affairs and Sports",
"speaker": {
"id": 109,
"legal_name": "Wavinya Ndeti",
"slug": "wavinya-ndeti"
},
"content": "Madam Temporary Deputy Speaker, I would like to table two title deeds here. I do not know who is fooling who here. The Kenya Airports Authority (KAA) has two title deeds. I have a title deed here dated 1996. Another one is dated 2002 which shows 225 hectares of airport land was grabbed and sold to innocent Kenyans. They sold it and then they go to demolish people’s houses in Syokimau. It is not fair. I want to thank the Committee for saying they want more investigations to be done on this land."
}
]
}