HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148130",
"previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=148128",
"results": [
{
"id": 1499482,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499482/?format=api",
"text_counter": 345,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Hon. Bedzimba followed by Hon. Esther Passaris, and Hon. Tandaza."
},
{
"id": 1499483,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499483/?format=api",
"text_counter": 346,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "(Technical Hitch)"
},
{
"id": 1499484,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499484/?format=api",
"text_counter": 347,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Mhe. Bedzimba, tutafurahia ukizungumza katika lugha ya Kiswahil, lakini chaguo ni lako"
},
{
"id": 1499485,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499485/?format=api",
"text_counter": 348,
"type": "heading",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "."
},
{
"id": 1499486,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499486/?format=api",
"text_counter": 349,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kisauni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Rashid Bedzimba",
"speaker": {
"id": 13383,
"legal_name": "Ali Menza Mbogo",
"slug": "ali-menza-mbogo"
},
"content": " Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii ya kuchangia Mswada huu. Mazingira ni kila kitu. Katika taifa lenye afya na nguvu, ni lazima mazingira yapewe kipaumbele ili vitu vingine vipatikane. Ninamuunga mkono na kumshukuru Mhe. Mayaka kwa kuuleta Mswada huu wa kuyalinda mazingira. Kama nilivyosema hapo awali, mazingira ni muhimu. Hata kama mti wa mkalatusi una faida zake, pia una madhara yake. Ni vyema kulinganisha faida na hasara ya kitu ili kujua ni ipi imezidi. Kama vile Mhe. Mayaka alivyotaja, huo mti unakausha maji kwenye mito na kutoa nguvu kwenye mchanga. Hiyo ni hasara kubwa kwa taifa. Kwa hivyo ni vyema kuondoa mti huo kabisa ili usipatikane katika maeneo yetu. Kuna Wabunge ambao wamesema kuwe na sehemu maalum ambapo mti huo utapandwa kando na mito. Siyo kwamba ninapinga maoni yao, lakini kama mti huo unanyonya maji, basi hata ukipandwa katika sehemu fulani, bado utanyonya maji katika sehemu ambazo maji yanatembea chini ya ardhi na kusababisha madhara ya sehemu hizo kukauka. Hii ni kwa sababu kuna maji yanayopita chini ya ardhi na huenda katika sehemu fulani. Yana faida kubwa katika taifa. Mti huo ukishakausha sehemu hizo, ardhi haitakuwa na nguvu. Kuna sehemu nyingi ambapo ijapokuwa huoni madhara ya mti huo waziwazi, kuna madhara ya mbali. Kwa mfano, mti huo haukubali mimea kumea ama unafanya chakula kinakosa rutuba kwa sababu umenyonya maji yote. Tumeona pia kampuni ya Kenya Power ikiutumia mti huo. Ni vyema waje na mbinu mbadala ili isiwe lazima watumie mti huo. Ni heri hata watumie saruji kusimamisha nguzo zao ili miti hiyo ipigwe marufuku kabisa. Ikiwa ni lazima ipandwe, basi ni vyema iwe katika fuo za bahari. Pale baharini, kuna miti inayoitwa mikoko ambayo mara nyingi humea yenyewe. Ikiwa ni lazima mti wa mkalatusi upandwe ilhali unanyonya maji kwa wingi, basi upandwe baharini ili unyonye maji yaliyo baharini kwa sababu hayawezi tokomea. Maji katika bahari ni"
},
{
"id": 1499487,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499487/?format=api",
"text_counter": 350,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kisauni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Rashid Bedzimba",
"speaker": {
"id": 13383,
"legal_name": "Ali Menza Mbogo",
"slug": "ali-menza-mbogo"
},
"content": "The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
},
{
"id": 1499488,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499488/?format=api",
"text_counter": 351,
"type": "speech",
"speaker_name": "Kisauni, ODM",
"speaker_title": "Hon. Rashid Bedzimba",
"speaker": {
"id": 13383,
"legal_name": "Ali Menza Mbogo",
"slug": "ali-menza-mbogo"
},
"content": "mengi. Kwa hivyo, mti huo upandwe kando ya bahari lakini sio katika ardhi ambayo tunategemea maji yaliyomo chini ya ardhi. Nimesimama kuuunga mkono Mswada huu na kuhakikisha kuwa mti huo uondolewe. Ingawa wakati uliletwa nchini ulifanyiwa utafiti, kila siku utafiti hufanywa duniani na kuna vitu ambavyo tulikuwa tunavitumia zamani lakini sasa havifai. Kwa mfano, zamani tulikuwa tukitumia asbestos lakini baada ya utafiti, ilisemekana kuwa inasababisha ugonjwa wa saratani. Vile vile, watu wameona kuwa mti huo wa mkalatusi una hasara kubwa. Kwa sababu hiyo, inabidi tuache kufanya vitu ambavyo tulikuwa tukifanya mwanzoni bila kujua. Utafiti wa kileo unatofautisha vitu vingine ambavyo havifai. Mti huo ni mojawapo ya vitu ambavyo havifai. Kwa hivyo, ninauunga mkono Mswada huu ili mti huo uondolewe na kuletwe mti mwingine utakaokuwa na manufaa. Ahsante sana, Mhe. Spika wa Muda."
},
{
"id": 1499489,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499489/?format=api",
"text_counter": 352,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Farah Maalim",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": {
"id": 16,
"legal_name": "Farah Maalim Mohamed",
"slug": "farah-maalim"
},
"content": " Mhe. Esther Passaris. Ninamkumbuka marehemu baba yako ambaye alikuwa rafiki yangu sana. Alifanya kazi kule Mombasa siku nyingi sana. Sijui kwa nini umesahau Kiswahili."
},
{
"id": 1499490,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499490/?format=api",
"text_counter": 353,
"type": "speech",
"speaker_name": "Nairobi City County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Esther Passaris",
"speaker": null,
"content": " Ahsante sana, Mhe. Spika wa"
},
{
"id": 1499491,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1499491/?format=api",
"text_counter": 354,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Muda. Ni kweli."
}
]
}