HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=153761",
"previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=153759",
"results": [
{
"id": 1555792,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555792/?format=api",
"text_counter": 188,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "na Statements nyingi kwenye Bunge. Nina imani kuwa watu wake pia haswa kule mashinani watamkosa sana kwa sababu alikuwa kiongozi mchapa kazi. Ila ushauri wangu kwa ndugu yangu Mhe. Ruku ni kuwa, mwenzako aliyetoka pale tulimwingiza vizuri lakini akafanya kiburi. Hivyo tunakuomba kwa kuwa umekuwa nasi hapa na unaelewa matatizo ya wakenya hivyo ukiingia pale, uwe na heshima na adabu. Ikiwa itatokea kuwa unataka kuondoka, utoke kwa heshima ambayo umeingia nayo. Inatamausha sana ikiwa waziri amechaguliwa na kuingia kwenye serikali anaanza kutoa siri za serikali. Tunasema “siri kali”, kwa maana siri ambazo ziko kule lazima wewe uziache kule hata kama unaondoka. Ni aibu kwamba waziri ambaye alikuwa anaheshimika anaweza kutoka nje akaanza kuelezea mambo ambayo hakuweza kutuambia akiwa waziri. Ndugu yangu Mhe. Ruku, najua wewe ni mchapa kazi na una heshima. Weka matakwa ya wakenya mbele, fanya kazi kwa bidii na Mwenyezi Mungu akutangulie mbele. Nikija kwa dadangu Bi. Hanna Cheptumo, Mhe. Spika wa Muda, huyu ni mama ambaye ameingia kwenye ujane na ametoka kwenye misukosuko. Najua kuwa amefanya makosa mahali kwa kutoa matamshi yale lakini kama Mama Mombasa County, namuombea msamaha hapa kama mama ambaye pia anaelewa matatizo wanayopitia wajane. Namwambia kuwa, tumekawia kupata waziri kwa muda mrefu katika hii wizara yetu. Nawe dada yetu Hanna Cheptumo ukiingia kule, angalia masuala ya wanawake, femicide na mambo ya gender-based violence yamekuwa donda sugu katika taifa hili. Wewe kama mama, twataka utoe mwelekeo mzuri. Najua katika docket yako, kuna Principal Secretary Anne Wang’ombe anayefanya kazi nzuri sana. Ikiwa mama hataelewa mambo atakayoyapata, mdogo wake atamuonyesha vile ambavyo mambo yanavyofanywa hapa na pale ili aelewe. Kama alivyosema mwalimu wake, dada yetu, Mhe. Gladys Boss, Hanna anapaswa kuomba msamaha kutoka kwa akina mama na Wakenya kwa sababu matamshi yake hayakuwa mazuri. Hata hivyo, haimaanishi kuwa hawezi kufanya kazi. Alijibu maswali mengine vizuri na nina imani kuwa atakapozingatia masuala ya sisi akina Mama 47 wa Kaunti, atatushika mikono ili tuweze kupigana na matatizo yanayowamaliza akina mama katika taifa hili. Akina mama wengi wamekufa. Wengine wametupwa kwenye mashimo. Watoto wetu wameuwawa katika AirBnB. Wote hawakuenda kutafuta pesa kama alivyosema. Wengine waliuwawa na wachumba wao walioingiwa na ubaya mioyoni mwao. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
},
{
"id": 1555793,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555793/?format=api",
"text_counter": 189,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mombasa County, ODM",
"speaker_title": "Hon. Zamzam Mohammed",
"speaker": null,
"content": "Kwa hivyo, nampongeza. Karibu tufanye kazi pamoja. Pole kwa msiba uliompata. Kazi hii imekuja wakati ambapo bado anaomboleza. Naomba Mungu ampe ujasiri wa kuweza kufanya kazi."
},
{
"id": 1555794,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555794/?format=api",
"text_counter": 190,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. David Ochieng’",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": null,
"content": " Member for Eldas. Use the microphone next to you. You have two minutes."
},
{
"id": 1555795,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555795/?format=api",
"text_counter": 191,
"type": "speech",
"speaker_name": "Eldas, JP",
"speaker_title": "Hon. Adan Keynan",
"speaker": null,
"content": " Thank you, Hon. Temporary Speaker. I have known the Cheptumos for quite some time. They have acted for me on certain matters before they joined Parliament. I know Hanna and I also knew the late Senator. Anybody can vouch for them. They are extremely honest and pragmatic. Her statements on Monday may have different interpretations, but it was a slip of the tongue. That is not the Hanna that I know. There is a reason why the framers of the current Constitution introduced stages in the approval process of a Cabinet Secretary. In the previous constitutional dispensation, individuals were just appointed by the President, which meant that they lacked public interaction, representation, and the image of being the interface between the Presidency and the public. Currently, the President nominates a candidate, his or her name is submitted to the House, the candidate is vetted, and the report comes back to the House for approval. That amplifies the persona of that particular individual. Therefore, I have no doubt in my mind that Hanna will serve everybody. I have total faith in her, I have interacted with her, and I believe she is the right person for that job. I support her approval."
},
{
"id": 1555796,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555796/?format=api",
"text_counter": 192,
"type": "speech",
"speaker_name": "Eldas, JP",
"speaker_title": "Hon. Adan Keynan",
"speaker": null,
"content": "Secondly, in my definition of a Member of Parliament, I view Hon. Ruku as a self- made politician. Hon. Temporary Speaker, you, Hon. Ruku, many others and I fall in that category. When he first came to Parliament, I saw a young man who was determined to create an independent political path for himself. That is a very rare quality. In Hon. Ruku, I see somebody who is open, brave, courageous, decisive and who has been working like a second or third termer. Therefore, I urge him to maintain his courage, to serve Kenyans and the President diligently, and to work for the image of the Republic of Kenya in his new position. I have no doubt in my mind that he has a promising future in our public affairs."
},
{
"id": 1555797,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555797/?format=api",
"text_counter": 193,
"type": "speech",
"speaker_name": "Eldas, JP",
"speaker_title": "Hon. Adan Keynan",
"speaker": null,
"content": "Finally, as Members of Parliament, our work is not just to be a conveyor belt. We give these people jobs, but equally, we are also supposed to oversee them. If they make mistakes, and the Leader of the Majority Party has alluded to that many times, we can invoke the necessary Articles of our Constitution. We can cite them for contempt, impeach them or deal with them in our relevant committees. Our work should not end with their approval; this is just the beginning. Once we approve them, I hope they will not feel like they have been given those jobs for eternity. We will be there to follow them and hold them accountable. Serve Kenyans without fear or favour. Serve the President and the community so that everybody benefits. Ms Hanna will not serve the ladies alone. The word “gender” encompasses both sides, therefore, the ladies who are only talking about the 47 Women Representatives, hapana . She will be a Cabinet Secretary for all of us. I support their approval."
},
{
"id": 1555798,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555798/?format=api",
"text_counter": 194,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. David Ochieng’",
"speaker_title": "The Temporary Speaker",
"speaker": null,
"content": " Member for Baringo."
},
{
"id": 1555799,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555799/?format=api",
"text_counter": 195,
"type": "speech",
"speaker_name": "Baringo County, UDA",
"speaker_title": "Hon. Jematiah Sergon",
"speaker": null,
"content": " Thank you, Hon. Temporary Speaker. I want to add my voice in congratulating these Cabinet Secretary nominees, starting with Hon. Ruku, who is our colleague. I knew and worked with Hon. Ruku before we came to Parliament. We served together when I was a volunteer with the United Republican Party (URP) and The National Alliance (TNA), all the way to the Jubilee Party. Hon. Ruku has proven to be a self-made politician. He has shown a lot of dedication in delivering matters to"
},
{
"id": 1555800,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555800/?format=api",
"text_counter": 196,
"type": "scene",
"speaker_name": "",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "wananchi"
},
{
"id": 1555801,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555801/?format=api",
"text_counter": 197,
"type": "speech",
"speaker_name": "Baringo County, UDA",
"speaker_title": "Hon. Jematiah Sergon",
"speaker": null,
"content": ". The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}
]
}