Anania Mwaboza

Full name

Anania Mwasambu Mwaboza

Born

21st March 1972

Post

P. O. Box 99143 80107 Mombasa

Telephone

0722827225

All parliamentary appearances

Entries 1 to 10 of 58.

  • 5 Sep 2007 in National Assembly: Ahsante sana, Bw. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii ili nami nichangie Hoja hii ya makadirio ya matumizi ya fedha katika Wizara ya Uchukuzi. Kwanza ningependa kuitolea Wizara hii heko kwa jinsi inavyojitahidi katika masuala ya uchukuzi. Mbali na hilo, kuna suala la Shirika la Kenya Airways ambalo linaendelea kufanya vizuri nchini. Hata hivyo, kama walivyosema waheshimiwa Wabunge wenzangu waliozungumza hapa, kuna taabu za hapa na pale katika shirika hilo lakini malumbano hayakosekani katika kila shughuli. Katika Kenya ya leo, Wizara hii ingefikiria kubuni "Kenya Sea Airways". Kwa nini nimesema hivyo? Ni kwa sababu Serikali yetu iliahidi kuzalisha ... view
  • 5 Sep 2007 in National Assembly: Ahsante sana, Bw. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa hii ili nami nichangie Hoja hii ya makadirio ya matumizi ya fedha katika Wizara ya Uchukuzi. Kwanza ningependa kuitolea Wizara hii heko kwa jinsi inavyojitahidi katika masuala ya uchukuzi. Mbali na hilo, kuna suala la Shirika la Kenya Airways ambalo linaendelea kufanya vizuri nchini. Hata hivyo, kama walivyosema waheshimiwa Wabunge wenzangu waliozungumza hapa, kuna taabu za hapa na pale katika shirika hilo lakini malumbano hayakosekani katika kila shughuli. Katika Kenya ya leo, Wizara hii ingefikiria kubuni "Kenya Sea Airways". Kwa nini nimesema hivyo? Ni kwa sababu Serikali yetu iliahidi kuzalisha ... view
  • 1 Aug 2007 in National Assembly: Asante sana, Bw. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi hii ili niunge mkono Hoja hii kuhusu Bajeti ya Wizara ya Afya. Tunavyojua, afya ni utajiri. Ikiwa afya ni utajiri, basi utajiri huu u namna gani? Katika mipangilio ya huduma za afya katika nchi--- Nafikiri baada ya kupigania Uhuru, swala la kwanza lilikuwa kuhakikisha kwamba Mwafrika amejikomboa kutoka kwa magonjwa ili watu wapate huduma za tiba bora. Imekuwa aje kwamba miaka 43 baada ya Uhuru, katika sehemu zingine na mikoa mingine katika nchi hii, bado wananchi wanalia kuhusu maswala ya tiba? Kwa mfano, katika hospitali za mikoa--- Kwa mfano, hivi ... view
  • 19 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, pursuant to a Question by Private Notice dated 17th July, 2007 by hon. Member for Mandera Central, I do, hereby, wish to lay on the Table, a copy of the deportation order of one Mohammed Sheikh Osman Egal dated 22nd May, 2007, duly signed. view
  • 17 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, I beg to reply. (a) I am aware that Mohamed Sheikh Osman Egal was deported on 9th July, 2007, to the United Kingdom aboard BA 064 to London. (b) Mohamed Sheikh Osman was deported from the country because his activities were a threat to the country's national security interest. On 22nd May, 2007, he was declared a prohibited immigrant in line with Sections 3(g) and 8 of the Immigration Act, following reports from various authorities which linked him to activities that are contrary to the national interest. view
  • 17 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, unfortunately, I did not carry with me the deportation order, which is in our files. The Question was very specific. I am answering the Question the hon. Member had asked. However, if I am given time, by Thursday, I will table that order. It is in the office. view
  • 17 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, I did not quite understand the question. However, as a country, it is within our jurisdiction to deport foreigners, if there are any adverse reports about them while they are in our country. We are entitled by law to deport such a person. view
  • 17 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, I have said, inter alia, that we acted within our jurisdiction. If a person holds a passport from a different nation, we normally deport them back to where they came from. view
  • 17 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, we are very clear. As a Government, we observe the law. We deport particular individuals on specific occasions. For instance, when we have adverse information against them through our intelligence machinery. view
  • 17 Jul 2007 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, I would not like to be political. The answer that I have given is quite reasonable. However, if I could give the minute details, this Sheikh was given a Class "E" permit, which specifically allowed him to do his religious activities. However, he went beyond and formed a company called Dasani Express, which was operating a Dasani Forex Bureau. This was against the law. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus