Beatrice Kwamboka Makori

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1 to 10 of 261.

  • 16 Jun 2022 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I second. view
  • 16 Jun 2022 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I second. view
  • 16 Jun 2022 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I second. view
  • 16 Jun 2022 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I second. view
  • 16 Jun 2022 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only.A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 16 Jun 2022 in Senate: Mr. Speaker, Sir, I second. view
  • 17 May 2022 in Senate: Asante sana, Bi Spika wa Muda kwa kunipa nafasi hii kuchangia huu Mswada wa Sen. Khaniri. Huu Mswada ni kitu ya maana sana kwa sababu hili janga si la Kaunti la Vihiga pekee yake; hii ni janga ambayo inaegemea kaunti zote kwa sababu hii Misaada inatolewa lakini kazi huwa haifanyiki kwa njia nzuri. Ukiangalia hii kazi ya mataa kwenye mabarabara utapata hii mataa inawekwa kwa njia isiyofaa. Unapata mataa mengi yanazima. Mataa yakizima mambo ya usalama katika kaunti zetu inakuwa mbovu kwa sababu hapo ndipo tunawezapata hawa vijana wahalifu, wanakuja kuvamia watu na maboma. view
  • 17 May 2022 in Senate: ni mbaya na mara nyingi tunapata watoto wetu na akina mama wakikanyaga maji taka ambayo inatoka kwa hiyo drainage system. Hii ni hasara kwetu kwa sababu unahitaji pesa pia kwenda kugharamia katika mahospitali. Wakati huu swala ni: Gavana wa Kaunti ya Vihiga anafanya kazi gani kwa sababu wakati huu anafaa kuwa amemaliza kazi kwa sababu tunaelekea muhula mwingine na uchaguzi mwingine? Inafaa kila gavana anayechaguliwa katika kila kaunti ahakikishe ile pesa inatoka katika Serikali ya Kitaifa kuteremka huko kwenye kaunti inafanya kazi inavyopaswa kufanyika. Hii pesa sio ya magavana wala mawaziri, ni pesa yetu sisi Wakenya na kama inakuja kwenye ... view
  • 17 May 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, allow me to read the Statement of the Standing Committee on National Security, Defence and Foreign Relations pursuant to Standing Order 51(1)(b) relating to the activities for the period from January to April 2022. I rise pursuant Standing Order 51(b) to make a Statement on the activities of the Standing Committee on National Security, Defence and Foreign Relations for the period commencing 1st January to 31st March, 2022. view
  • 17 May 2022 in Senate: Madam Temporary Speaker, during the short period under review the Committee held a total of five sittings and dealt with two Petitions. (1) The Committee considered and approved the Petition Report regarding the alleged murder of environmentalist and conservationist, Ms. Joanna Stutchburry, which was brought to the Senate by Sen. Halake on 4th August, 2021 and was laid on the Senate, view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus