Cherarkey K Samson

Parties & Coalitions

  • Not a member of any parties or coalitions

All parliamentary appearances

Entries 6231 to 6240 of 7129.

  • 24 Jul 2019 in Senate: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. view
  • 24 Jul 2019 in Senate: Mr. Speaker, Sir, would I be in order to request that we go to Division and then come back to the Statements later? view
  • 23 Jul 2019 in Senate: Hoja la nidhamu, Bw. Spika wa Muda. Singependa kumzuia rafiki yangu, Sen. Madzayo kuzungumza, lakini kuna methali ya Kiswahili ambayo inasema “Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.” Mimi nimesikia akisema “Ukishangaa ya Musa, utaona ya feri ya Likoni”. Sasa nimechanganyikiwa kidogo kwa sababu sijui kama methali hiyo umebadilishwa na wataalum wa lugha. view
  • 23 Jul 2019 in Senate: Asante, Bw. Spika Wa Muda, kwa nafasi hii. Ningependa kuunga mkono Arifa ya ndugu yangu, Seneta wa Kaunti ya Mombasa, Sen. Faki. Kama tulivyosema katika sheria ya maswala ya majani chai, kwamba makao makuu ya maswala ya majani chai yawe katika mji wa Kericho. Jambo hili linafaa kuzingatiwa pia kwa mambo ya uvuvi kwa sababu hatuoni ziwa katika Kaunti ya Nairobi Mjini. Lengo kuu la ugatuzi ni kupeleka mashinani huduma zote. view
  • 23 Jul 2019 in Senate: Ninamuunga mkono ndugu yangu, Sen. Faki. Ninafikiri hata sisi tunaotoka sehemu zinazopanda mahindi, tunataka pia maghala ya mahindi yawe katika mji wa Eldoret. Tukifanya hivyo, itasaidia kuleta uwiano mzuri, agenda kubwa, na azma na lengo nzuri la ugatuzi katika taifa la Kenya. Taasisi au vyombo vya Serikali au madola The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 23 Jul 2019 in Senate: yanafaa kuhakikisha kwamba yamezingatia azimio ambalo Seneti inaweza kutoa kulingana na hiyo arifa. Sisi kama kamati husika tunatarajia majibu sahihi ambayo yatasaidia kuendesha ugatuzi katika taifa letu la Kenya. Asante, Bw. Spika wa Muda. view
  • 18 Jul 2019 in Senate: Thank you, Madam Temporary Speaker. From the onset, I support this Motion and I believe that it will be passed quickly. I want to thank the Speaker and the entire Senate because you gave us an onerous duty of midwifing the process for which we went to court today and we are proud of you. Thirdly, I want to say that I support this Motion because our counties need more money than ever before. We should be given the amount of Kshs335 billion and we should not cede the ground even on one cent. We must stand with the counties ... view
  • 18 Jul 2019 in Senate: demand for accountability and transparency for some of these resources. I think the enemies of devolution are now regrouping. Therefore, as the Senate, if we allow this Procedural Motion not to succeed and more money is not added to the counties, then it means we will be allowing the counties and even the Senate to be wound up under our watch. Madam Temporary Speaker, the law is very clear under Article 153 (3). I have seen some Members of the other House saying that Cabinet Secretaries do not have any business coming to the Senate Committees and the Senate itself. ... view
  • 18 Jul 2019 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Speaker, Sir, for this opportunity. I want to thank my neighbour, Sen. (Prof.) Kamar, for that Statement. I know that the issue of maize has been with us for the past few days because the Ministry of Agriculture and Irrigation indicated that they wanted to import maize, so as to protect the eaters of ugali . The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 18 Jul 2019 in Senate: The insinuation is that if maize is not imported, the prize of maize flour will continue going up. We do grow maize in the North Rift. The Ministry of Agriculture and Irrigation reported that we had a bumper harvest of 46 million bags of maize. The big question then is: Why should we import maize when we are only two or three months away from harvest? I happened to be in Hamisi on Sunday, where I ate boiled maize and saw others being dried. It is unfortunate that the Ministry of Agriculture and Irrigation wants to import maize, yet the ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus