Judith Ramaita Pareno

Parties & Coalitions

Telephone

0722860345

All parliamentary appearances

Entries 1351 to 1360 of 3416.

  • 24 Nov 2020 in Senate: Sen. Sakaja, hujabonyeza, hujauliza nafasi? view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Sen. Sakaja, hapo awali hukuwa umeuliza tuwahimize, uliuliza tuwaamrishe. Sasa umerekebisha. Tunawahimiza watumie lugha ya Kiswahili, lakini yule ambaye ameona hajimudu kwa lugha ya Kiswahili, ana uhuru kuchagua lugha ya Kiingereza. Endelea Sen. (Dr.) Milgo. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Muda wako umeyoyoma. Nafasi hii nitampa Sen. Kwamboka. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Naona sasa itabidi uzingatie Kiswahili vizuri, kwa sababu matamshi kama “handsheki” hayapo katika lugha ya Kiswahili. Labda useme walipeana salamu za amani. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Sen. (Dr.) Zani, proceed. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Sen. Faki, proceed. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Tulisema kwamba tunawahimiza tu wachague lugha. Sen. Omogeni, endelea. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Sen. (Dr.) Zani ako na Hoja ya Nidhamu. Endelea. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Alikuwa anahimiza tu kwamba ingekuwa bora kutumia Kiswahili. Sen. Omogeni, endelea. view
  • 24 Nov 2020 in Senate: Sen. Omogeni, umesalia na dakika 12 wakati tutaendelea na mjadala huu. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus