Millicent Omanga

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 281 to 290 of 296.

  • 19 Jun 2018 in Senate: Ahsante sana Bw. Naibu Spika kwa kunipa fursa hii kuungana na wenzangu kumuomboleza mwenzetu aliyetuaga, Sen. Okello. Mara ya mwisho kupatana na Seneta mwenzangu, Sen. Okello, ilikuwa wakati alipokuwa akinihoji kwenye radio alipokuwa anatangaza. “Alinipumbuaza” kwa ustadhi wake wa utangazaji kule kwenye radio Ramogi. Kweli tumempoteza Mkenya--- view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Bw. Naibu Spika, ninamaanisha ya kwamba alinishangaza kwa ustadhi wake wa utangazaji. view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Bw. Naibu wa Spika, tumempoteza mwenzetu kutokana na saratani ya koo. Ameugua ugonjwa huu kwa muda. Nilipokuwa mchanga tukiwa shuleni, tulifahamishwa kwamba vyuo vikuu vilikuwa na mafunzo ya uchunguzi wa magonjwa ya zinaa kama ukimwi. Hata hivyo, kwa sasa tuna ugonjwa wa saratani na vyuo vyetu vikuu havijaanzisha “malabaratori” kama hayo ambayo yalianzishwa wakati … view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Asante, Bw. Naibu wa Spika, ninaomba unilinde--- view
  • 19 Jun 2018 in Senate: Bw. Naibu wa Spika, ni vizuri tuanzishe maabara ya kutafiti ugonjwa huu wa saratani katika vyuo vyetu vikuu. Ugonjwa huu umeenea sana nchini Kenya. Ningependa kuiombea familia ya mwendazake faraja wakati huu wa majonzi. view
  • 7 Jun 2018 in Senate: Thank you, Madam Temporary Speaker, for allowing me to contribute to the Statement by Sen. Chebeni. I welcome the punitive action to be meted to these men going for our girls. I will not even call them men, but hyenas. We are talking about the safety of our girls. What about our boy child? The other day, I saw in Nyandarua County, Standard One boys were being molested. This is happening day in, day out. Fathers are molesting their sons. What are we doing about it? We are talking about girls in schools and that we should make sure there ... view
  • 17 May 2018 in Senate: Thank you, Madam Temporary Speaker. I beg to support the adjournment Motion to attend the Annual Legislation Summit in Mombasa. It will be a great opportunity for us to engage the county assemblies on legislation and oversight. We know very well that our county assemblies are the backbone of devolution. They are on the first lane on oversight before it comes to the Senate. Two weeks ago, the Senate Committee on Delegated Legislation travelled to some of the counties. We realised we have many challenges there. Most of the county assemblies told us that they wanted to build capacity for ... view
  • 17 May 2018 in Senate: Thank you, Sister Sen. Pareno. Yes, the movement decided to disrupt the business of the House. We were not able to form the Committees on time and to give the counties money on time. As you know, we had to repeat our presidential elections. This means that the political environment interfered greatly with service delivery in Nairobi City County. Our governor being a first-time governor, there are those baby steps which we have to accept. There are cartels. Rumour has it that ghost workers are almost 30 per cent - He had to deal with all these. It has been ... view
  • 17 May 2018 in Senate: Madam Temporary Speaker, I am discussing the challenges facing devolution and our counties. I am giving an example of Nairobi County and the challenges which we will discuss in the Legislative Summit in Mombasa. view
  • 17 May 2018 in Senate: Madam Temporary Speaker, it is okay. She is my senior. I oblige. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus