Mutula Kilonzo Jnr

Parties & Coalitions

All parliamentary appearances

Entries 1231 to 1240 of 3800.

  • 25 Feb 2020 in Senate: Thank you, Mr. Temporary Chairperson, Sir. The Committee on Justice, Legal Affairs and Human Rights agrees with the amendments to Clause 5(3) (b), (4) and (5) as shown in the Order Paper. The amendment by the National Assembly in Clause 5(3) seeks to remove the word ‘shall’ and put ‘may’ which means that the provisions of paragraph (a) and (b) of sub-clause 3 are now optional as opposed to mandatory. The second amendment in b(3) seeks to introduce a new paragraph where committees of the county assemblies can conduct site visits if they find it necessary. The Committee noted that ... view
  • 19 Feb 2020 in Senate: Asante, Bw. Spika. Wamesema nizungumze Kiswahili. Jambo hili linatutatiza sisi Wakenya. Mimi nimepigiwa simu na watu wawili kutoka Kaunti ya Makueni ambao wanasoma kule China. Mmoja wao ni profesa. Wanasema kwamba wanahofia kuwa maradhi hayo yatawakabili sehemu wanayoishi. Ukweli ni kwamba Wizara husika haiwezi, haitawahi, haijui na haitawajibika. Mheshimiwa Rais anafaa kujitokeza na kukipa swala hili kipau mbele. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta ambako ndege zinatua, kunapaswa kutengenezwa hospitali maalum. Mimi nilishangaa kusikia ya kwamba wametenga vitanda katika hospitali ya Mbagathi. Vitendawili vya Kenya havitawahi kuisha. Yaani, huyu ni mtu ambaye haelewi. Mtu ambaye anasemekana kuwa ... view
  • 19 Feb 2020 in Senate: Hili ni jambo ambalo linatakiwa kuchukuliwa kwa uzito unaofaa kwa sababu hakuna sheria. Mimi na Sen. Sakaja tulipendekeza sheria ya kuangalia majanga kama haya. Hii ni kwa sababu hatuna sheria. Serikali inafaa kuchukua jukumu kupitia kwa Mheshimiwa Rais hata kama tutasimamisha maneno ambayo tunazungumza--- view
  • 19 Feb 2020 in Senate: .: Bw. Spika, kuna vitu ambavyo wanavaa kwa mdomo. Ukiwaona wanapotoka Uchina ama katika viwanja vingine vya ndege wanavaa hivyo vitu. Utafikiria kwamba mtu huyo ana huo ugonjwa. Tulipotoka Kabarak hadi Uwanja wa view
  • 19 Feb 2020 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 19 Feb 2020 in Senate: Ndege wa Wilson tulikutana na watu walikuwa na vifaa kama bunduki. Walikuwa wameweka kifaa kingine kichwani na sikujua wanaangalia nini. Hata hivyo, Sen. Shiyonga amesema kwamba si lazima watu wanaoweza kuwa na Virusi vya Corona wapitie katika uwanja wa ndege. Wanaweza kupitia Lunga Lunga kwa Sen. Gona au hata Ziwa Victoria. Kwa hivyo, ni muhimu kwa Wakenya kujua kwamba afya yetu inaangaliwa. Bw. Spika, je, mtu mmoja akipatikana na ugonjwa wa Corona katika vitongoji duni kama vile Kibera, Mathare au Kawangware, tutafanya nini? Je, tutaifunga hii nchi ili mtu asitoke kama walivyofanya Wuhan? Jambo hili halifai kuchukuliwa kwa urahisi vile ... view
  • 19 Feb 2020 in Senate: .: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. This amendment on the Bill by Sen. M. Kajwang' is pretty straight forward. In the days when Parliament was Parliament, in fact these amendments would come through an omnibus Bill. We do not need to make these corrections in such an elaborate Bill. Since the omnibus Bills come with more details, like the one that was stood on by the Senate Majority Leader, it now becomes necessary to make amendments of this nature. In fact, when I appeared before the Building Bridges Initiative (BBI) this morning and we were talking about legislative reforms, ... view
  • 19 Feb 2020 in Senate: The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate. view
  • 19 Feb 2020 in Senate: The second one is the appointment of the CEO. Again, it is standard practice that CEOs are appointed by a board, and there is a reason similar to what I have raised before. If the Cabinet Secretary (CS) is busy doing all these things in conjunction with the board, who is the CEO supposed to report to? Mr. Deputy Speaker, Sir, in the previous Section, who is the CEO supposed to go to? In fact, the previous Section undermines both the CS and the Board. This is because if I am vetted by the National Assembly, what is the business ... view
  • 19 Feb 2020 in Senate: said that our river is polluted, we did not defend it. We said; “Yes it is. By Nairobians, tenderpreneurs and profiteers.” The people who Sen. M. Kajwang' represents – of whom some are profiteers, racketeers and businessmen – are busy poisoning the Lake from where we get our fish. That is a serious issue. In his good nature and as the Chairperson of one of the most serious Committees that audits counties, I expect him to audit the counties of the Lake region. He needs to seek a statement on the status and cleanliness of Lake Victoria, our fresh water ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus