All parliamentary appearances

Entries 31 to 40 of 140.

  • 25 Oct 2016 in National Assembly: ambaye tumekuwa tukisoma tukiwa katika shule za chekechea. Kweli ndugu zetu Wabunge wa kiume wangekuwa na nia ya kutusaidia ili idadi ya akina mama iongezeke katika Bunge letu la kitaifa, wangetupatia namna ya kufanya hiyo hesabu ili tuweze kujua moja ukiongeza moja utapata mbili. Lakini hapa hawajatuelezea lolote. Inamaanisha kwamba hili neno “pole pole” ama vile wameliweka katika lugha ya Kimombo ‘progressive’ ni njia moja ambayo hakuna lolote litatendeka hata kesho kutwa. Kwa hivyo, ingekuwa vizuri sana watueleze ni muda gani ama masaa mangapi ambayo hili neno “pole pole” litaanza kufanya kazi. Lakini sasa, hili ni neno tu lililowekwa pale. ... view
  • 25 Oct 2016 in National Assembly: Kwa hivyo, nawaambia akina mama pale nje: Tafadhalini, mwaunge mkono wale ambao tunawahitaji ili kuongezeka hapa Bungeni. Ukiangalia Wabunge akina mama ambao wamechaguliwa katika kaunti, kwa kweli, lilikuwa jambo gumu kabisa. Lakini ukiangalia utendakazi wao, wamefanya kazi kwa njia inayofaa kabisa. Ningewahimiza wale ambao wanaweza kung’ang’ania vile viti vya Ubunge, tafadhalini tokeni ili tuwapatie akina mama wengine nafasi kumenyana wapate viti hivyo. Leo hii, nafurahia sana kwa sababu wakati Rais Obama wa Marekani alikuja hapa, alisema jambo moja: Timu haiwezi kuwa timu kama haitachukua vijana na wanawake katika nchi. Haiwezi kuwa timu ya wanaume pekee ndio itacheza mpira. Kwa hivyo, ... view
  • 25 Oct 2016 in National Assembly: kwamba lazima hapa tuwe timu moja. Tuwe na vijana na akina mama ambao watacheza mpira pale kiwanjani. Na mpira unapochezwa, hakuna timu itakuwa na wachezaji 11 na wengine watano. Ikiwa timu zinachezesha watu 11, timu moja itakuwa na wachezaji 11 na ile timu nyingine pia itakuwa na 11. Sisi hatuulizi 11 kwa 11. Tunauliza tu kiasi ili akina mama waongezeke katika Bunge letu la Kenya. Leo hii ni jambo la ajabu sana kwa sababu siku zote tunapata Bunge limejaa ndugu zetu wanaume. Lakini leo akina mama, naliangalia Bunge na naomba Mwenyezi Mungu ahakikishe kwamba hapo mwaka wa 2017, viti hivi ... view
  • 12 Oct 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I want to thank Hon. David Ochieng for coming up with this Bill. As much as I support it, I was looking at it and I hope there will be some amendments. I was looking at the qualifications of the directors. Who is a director? Maybe, we need to know. We need to set a standard or standards to know the qualifications of those directors before they join that Institute of Directors of Kenya. You will agree with me that even lawyers have set their standards for joining the LSK. It is the same ... view
  • 12 Oct 2016 in National Assembly: I like the management of the institute. Who will manage that institute and what will be the qualifications of members of the board of directors? We need to set those standards so that whoever comes in knows there is a board with qualified members who are going to vet those who are coming to join the Institute of Directors of Kenya. I was looking at the best practices in the profession not only in public entities, but also in private entities. That is because they are the same people who keep changing from private entities to public entities. Having seen ... view
  • 11 Oct 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I support the Bill. I The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor. view
  • 11 Oct 2016 in National Assembly: want to congratulate the Senate for bringing up this very rich Bill that is long overdue. I will start with the training for early childhood development teachers. It has come out clearly that the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) shall give proper training to the teachers. In most cases, untrained teachers are taking care of our children at this very important level. You then wonder what they are teaching our children because they are unable to effect any change for lack of proper training. I want to support this Bill because of what it is going to do. It ... view
  • 11 Oct 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker for that. Every child has a right to go to school. There will be a penalty for parents who do not take their children for that free education. The other thing is that every child has a right to free and compulsory early education in a public education centre. The child will not be discriminated against based on race, colour, religion, social or economic standards. Some parents do not take their children to school simply because they feel that those schools belong to people who have resources and yet education is free for all. ... view
  • 11 Oct 2016 in National Assembly: throughout the term. They only get well when they close school. When doing registration, we will have to do a vetting exercise to make sure that those who want to open ECDE centres meet the requisite education standards. view
  • 11 Oct 2016 in National Assembly: I support this Bill because it has also taken care of special needs. Many parents keep their children with special needs in a confined environment. You may not even know that there is a child with special needs in that household who needs to get education. This Bill seeks to support such children. It opens doors for children with special needs to go to school. It is important for those running the ECDE centres that are meant to take care of these children to equip themselves with the necessary tools and skills to assist in identifying the special needs of ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus