Samuel Gonzi Rai

Aspirant for

Parties & Coalitions

Post

Parliament Buildings
Parliament Rd.
P.O Box 41842 – 00100
Nairobi, Kenya

Email

raigonzi@yahoo.com

Email

Kinango@parliament.go.ke

Telephone

0721278296

Telephone

0722355499

Samuel Gonzi Rai

Aspirant in the upcoming elections: Aspirant MP

Have information to add to our site about this aspirant?

All parliamentary appearances

Entries 431 to 440 of 533.

  • 3 Dec 2008 in National Assembly: Bw. Spika, ninakubaliana na mhe. Leshomo. Jambo hili lilifanyika wakati Bunge lilikuwa limevunjwa na hatukuwa na Mbunge katika sehemu hiyo. Wakati wa kuunda kamati hizi, ni lazima Mkuu wa Wilaya, Mbunge wa sehemu hiyo, Ofisa wa Kilimo, Karani wa Wodi, Ofisa wa Ardhi, Ofisa wa Mipango na madiwani wawe wanahusika katika mipango hii. Hata hivyo, wakati huo mambo haya yalipofanyika hakukuwa na baraza la madiwani au Mbunge. Ninamuomba mhe. Leshomo radhi. Mambo haya yamefikishwa katika Wizara na tayari tumetoa ilani ya urekebishaji. Ninaamini kwamba maofisa hawa wakikaa, wataleta orodha ya majina iliyo sahihi, ili tuyatangaze katika Gazeti rasmi. view
  • 3 Dec 2008 in National Assembly: Bw. Spika, labda sikuelewa vizuri. Tunawaandikia barua Wakuu wa Mikoa ili wapate kuwaandikia Wakuu wa Wilaya katika sehemu zao na kujumuisha watu ambao nimewataja ili wapate kuhusika katika kuchagua wanakamati. view
  • 3 Dec 2008 in National Assembly: Bw. Spika, nimeeleza kwamba ni jukumu la Mkuu wa Wilaya kutoa mapendekezo katika kila tarafa kuhakikisha kwamba wale maofisa ambao nimewataja, wote watapatikana na kukutana. Kwa hivyo, wao hukaa katika ngazi za nyanjani katika tarafa zao; si hapa Nairobi. view
  • 26 Nov 2008 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, I wish to seek the indulgence of the House to answer this Question on Tuesday next week. view
  • 7 Oct 2008 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, I beg to reply. (a) Since Independence, the Government has settled squatters in settlement schemes as follows:- A total of 106 squatter settlement schemes have been established, covering a total of 81,027.05 hectares. Those schemes have covered 22,395 squatters. The programme is ongoing. Currently, nine farms are under demarcation and survey is still going on. (b) Since the Financial Years 2002/2003 and 2007/2008, a total of Kshs1.955 billion has October 7, 2008 PARLIAMENTARY DEBATES 2491 been allocated to the Ministry to purchase farms. Eleven farms have been bought at a total cost of Kshs14,890,285. (c) I do ... view
  • 7 Oct 2008 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, what I have stated is that, out of the 45,291 squatters, we are expected to settle 15,148 squatters. That is what I can tell the hon. Member. He had actually asked me to lay on the Table the list of the farms that have been purchased, and I have done that. view
  • 7 Oct 2008 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, that has been done. I think it is a comprehensive list. That is because in Coast Province, we have settled, I think, 650 squatters in Madeteni, 182 in Boyani, 1,109 in Mavueni "A", 81 in Ngomeni, 233 in Kibarani Extension, 300 in Mavueni "B", 290 in Nyari, 719 in Matsangoni, 77 in Majao ni--- view
  • 7 Oct 2008 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, if the hon. Member could come up with a list of the complainants in those respective schemes, I can assure this House that action will be taken. view
  • 7 Oct 2008 in National Assembly: 2492 PARLIAMENTARY DEBATES October 7, 2008 view
  • 7 Oct 2008 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, I have assisted this House by laying a list of beneficiaries on the Table. If any hon. Member feels aggrieved, it is up to him to raise that issue with my Ministry, and we will take the necessary action. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus