HTTP 200 OK
Allow: GET, POST, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"count": 1608389,
"next": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=99",
"previous": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/?format=api&page=97",
"results": [
{
"id": 971,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/971/?format=api",
"text_counter": 476,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Muthama",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 96,
"legal_name": "Johnson Nduya Muthama",
"slug": "johnson-muthama"
},
"content": "Ni jambo la aibu kuona ya kwamba mambo haya yalifanyika machoni mwa naibu wa chifu, DO, DC na Mkuu wa Mkoa. Hawa wote ni waakilishi wa Serikali mashinani. Maofisa hawa wangeweza kujulisha Serikali juu ya uvamizi wa shamba hili. Kama wangefanya hivyo, basi wananchi wengi hawangejipata matatani ya kununua shamba bandia. Mimi ninapinga vikali uvamizi wowote wa mashamba ya umma na watu binafsi. Hata hivyo, jambo ambalo sikubaliana nalo ni ubomoaji wa nyumba za watu. Nyumba hizi ziliwagharimu watu hawa mamilioni ya pesa. Hii ilikuwa ni mijengo ya kifahari na ilijengwa kwa muda wa miaka mingi. Ni fedheha ilio je kuona nyumba hizi zikibolewa bila ya notisi kutolewa!"
},
{
"id": 972,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/972/?format=api",
"text_counter": 477,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Muthama",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 96,
"legal_name": "Johnson Nduya Muthama",
"slug": "johnson-muthama"
},
"content": "Watu ambao nyumba zao zilibomolewa hawajui kama walikuwa wamezijenga katika ardhi ya Serikali. Wao walinunua ploti zao kihalali. Mimi mwenyewe nimepinga mara nyingi njama za unyakuzi wa mashamba ya Serikali. Jambo hili nilijadiliana na Waziri wa Ardhi. Nilimweleza vile watu fulani walijaribu kunihonga ili nikubali wavamie shamba la Serikali la ekari 1,600. Walijaribu kunihonga na zaidi ya Kshs50 milioni na ahadi ya ekari 300 ikiwa ningewakubali wanyakue zaidi ya ekari 1,600; mali ya umma. Nilikataa njama zao na nikamwandikia Waziri wa Ardhi barua juu ya kisa hiki. Kamwe siungi mkono wizi wa mashamba ya Serikali. Lakini watu hawa wa Syokimau na kwingineko walitoa wapi vyeti vya kumiliki mashamba yao? Je, kwani kuna Serikali mbili katika nchi hii? Kwa nini Serikali inatoa vyeti kwa mkono wa kulia na kuvikataa kwa mkono wa kushoto? Ikiwa stakabadhi hizi za kumiliki mashamba ni bandia, kwa nini Waziri hajaamuru uchunguzi ufanywe ili kubainisha ukweli wa mambo na maofisa fulani katika Wizara yake kuchukuliwa hatua kwa kutoa vyeti hivi?"
},
{
"id": 973,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/973/?format=api",
"text_counter": 478,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Muthama",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 96,
"legal_name": "Johnson Nduya Muthama",
"slug": "johnson-muthama"
},
"content": "Ikiwa mtu anaweza kutengeneza stakabadhi bandia bila Wizara husika kujua, basi pengine cheti changu cha kumiliki shamba langu ni bandia. Pengine shamba langu tayari limeuzwa bila mimi kujua. Ni lazima mambo haya yachunguzwe kwa kina kirefu ili tujue ukweli wa mambo. Wananchi wengi wameteseka na kupoteza mali kwa sababu ya njama ya watu fulani, walagai wanaowahadaa kwa mashamba ya umma. Ni dhahiri shamba hili ni la shirika la ndege hapa nchini. Kwa hivyo, ninaiomba Serikali hii kuwafidia walioathirika na ubomoaji wa nyumba hizi kwa sababu makosa yalikuwa ya baadhi ya maofisa katika Wizara ya Ardhi. Tunajua watu hawa walinunua mashamba haya na wakajenga nyumba zao kwa gharama ya juu. Inafaa walipwe. Mwisho, ninamuomba Waziri atakapokuwa akitoa msimamo wa Serikali kuhusu jambo hili, atueleze vile watawafidia waathiriwa wa mkasa huu wa Syokimau na kwingineko. Ningependa kusikia jinsi watakavyo pata pesa za kuwafidia watu hawa. Ikiwa Serikali hii ina pesa za kupigana na maharamia wa Al Shabaab kule Somalia, kwa nini isipate pesa za kuwafidia watu wake?"
},
{
"id": 974,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/974/?format=api",
"text_counter": 479,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Muthama",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 96,
"legal_name": "Johnson Nduya Muthama",
"slug": "johnson-muthama"
},
"content": "Kwa hayo machache, ninaunga mkono."
},
{
"id": 975,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/975/?format=api",
"text_counter": 480,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Ethuro",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 158,
"legal_name": "Ekwee David Ethuro",
"slug": "ekwee-ethuro"
},
"content": "Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I would like to commend my good friend, the presidential hopeful, hon. Musyimi, for this good piece of work. I had an occasion to appreciate his contribution to this society. I also want to commend his Committee Members, including the joint Committee Chairman, hon. Kapondi, who today is a free man. This report reminds us of two things; first, the clarion call by the late President of the Republic, namely, turudi mashambani . We must go back to our rural areas. The issue of land was still as valid then as it is today. Secondly, it reminds me of the role of hon. Orengo, the Minister for Lands. The Minister is a man I respect, given that he has fought hard for this country. Now he does not have to fight from the streets. He must now fight to assist the oppressed. I cannot take it from hon. Orengo; for him to come to this House and tell us: “If they could allow him to pay---” who is Government? He is in the Government. He is talking about the Land Registry. The first assignment we gave him, as a House, was computerisation of the land records. At one time, he came here with some very rusty things, which were supposed to be title deeds and we told him that he had better computerise his records. We cannot accept this nonsense in this day and age. This is a country whose talent is recognised worldwide. This is a country where we have produced highly qualified ICT specialists to the extent of exporting expertise in ICT to Rwanda, which now boasts of hosting an IT giant in the name of Dr. Shem Ochuodho. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, the Minister for Lands must take advantage of the recommendations of this Committee to do this country one last favour after the promulgation of the new Constitution – reforming our land system. It is about land reforms. With those remarks, and because hon. Kiema has been compromised by hon. Orengo, I beg to support."
},
{
"id": 976,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/976/?format=api",
"text_counter": 481,
"type": "speech",
"speaker_name": "Prof. Kaloki",
"speaker_title": "The Temporary Deputy Speaker",
"speaker": {
"id": 62,
"legal_name": "Philip Kyalo Kaloki",
"slug": "philip-kaloki"
},
"content": " Order! Order! Hon. Njuguna, because of the interest shown by hon. Members in this debate, could you take two minutes, so that we can have many hon. Members contributing?"
},
{
"id": 977,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/977/?format=api",
"text_counter": 482,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Njuguna",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 20,
"legal_name": "Peter Njuguna Gitau",
"slug": "peter-gitau"
},
"content": "Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I start by thanking the joint Committee Chairman, the aspiring Presidential candidate, hon. Mutava Musyimi, and the Members of the Joint Committee. The shocking demolitions and evictions at the concerned places were brutal acts. Families are now in agony and serious pain. These acts have resulted in a second generation of Internally Displaced Persons (IDPs). These are people who need counselling services. The affected families were really shuttered by those events. Those families have nothing to celebrate about during this Christmas. It was total shame, and I would urge the Minister for Lands to make sure that he immediately initiates transfers, demotions and prosecutions of the officers who were involved in this serious scam. This should be the last displacement of human population in this country. With those few remarks, I fully support the Motion."
},
{
"id": 978,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/978/?format=api",
"text_counter": 483,
"type": "speech",
"speaker_name": "Prof. Kaloki",
"speaker_title": "The Temporary Deputy Speaker",
"speaker": {
"id": 62,
"legal_name": "Philip Kyalo Kaloki",
"slug": "philip-kaloki"
},
"content": " Hon. K. Kilonzo, you have two minutes, please!"
},
{
"id": 979,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/979/?format=api",
"text_counter": 484,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. K. Kilonzo",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 172,
"legal_name": "Julius Kiema Kilonzo",
"slug": "kiema-kilonzo"
},
"content": "Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I want to join the rest of my colleagues who have supported this Report. I was, indeed, one of the joint Committee Members who burnt the midnight oil to ensure that we delivered a report that is in tandem with the expectations of Kenyans. Just to give a brief overview, with the assistance of the Government, Kenyans were duped, in the sense that the Kenya Gazette Notice that was referred to by the Attorney-General indicates that, indeed, this land was available to be bought and. Therefore, Kenyans worked on the basis of that Kenya Gazette Notice. Whether or not the generation of that Kenya Gazette Notice was an illegality, it is not within the province of mwananchi . Therefore, there is no way the Government can get itself out of this mess. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, we do not condone impunity. We are saying that we cannot be in a Government which destroys people’s property, and which does things without a human face. Therefore, we want to tell the Government, just like my colleague, hon. Muthama said, that if we have money to pursue the Al Shabaab and do other things, we should have money to ensure that those people, who were duped with the assistance of the same Government are compensated, among the other actions we have suggested, relating to compensation. With those few remarks, I support this Report. Mr. Orengo, we support you in your work. You should be firm as you have always been to ensure that those crooks in your Ministry are sent packing. You have already done well, but you can do more."
},
{
"id": 980,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/980/?format=api",
"text_counter": 485,
"type": "speech",
"speaker_name": "Mr. Shakeel",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 140,
"legal_name": "Ahmed Shakeel Shabbir Ahmed",
"slug": "shakeel-shabbir"
},
"content": "Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I want to support this Report. I am a member of this Committee. We have really heard the cry of the poor. Kenya is no longer a pro-poor country. It is a crime to be poor in this country. This country is for the rich. As a matter of fact, we have gone back to the time of the colonialists where land was used to suppress people. It has been used for different purposes to suppress people. I fail to understand why somebody who has been there for ten years should not have been given a reverse position no matter what. If you go to a country like India, you will see planes flying over slums. If you go to New York, you will see huge buildings in the middle of the flight path. For God’s sake, we cannot use the excuse of flight path to demolish people’s houses. Those houses were built at great cost. If the Kenya Airports Authority was serious enough why did they not buy those houses and rent them to their staff? Why did they have to demolish those houses? Mavoko County Council is also very much guilty of this matter. I hope that they are taken to task. With those few remarks, I beg to support."
}
]
}