Asman Kamama

Full name

Asman Abongutum Kamama

Born

8th August 1965

Post

c/o Luke Plapan P.O. Box 60000 Nairobi, Kenya.

Post

Parliament Buildings
Parliament Rd.
P.O Box 41842 – 00100
Nairobi, Kenya

Email

kamamaabongo@yahoo.com

Email

kamama.asman@yahoo.com

Telephone

0729816066

All parliamentary appearances

Entries 2451 to 2457 of 2457.

  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Bw. Naibu Spika, ningependa kusema kwamba kuna maskuota ambao wana tabia ya kuhamahama. Wanapopewa sehemu ya ardhi, wao huiuza na kuendeleza shida zao katika sehemu nyingine ya ardhi. Ningependa kusema kwamba kama watu hao wana shida, wanafaa kwenda katika Ofisi ya Wizara ya Ardhi, huko Kilifi na kujiandikisha. Tuko na mpango wa kuwapatia watu wa Pwani sehemu ya ardhi huko Kwale na pia Kilifi. Kama kuna watu ambao wana malalamiko halali, wanafaa kwenda katika Ofisi ya Wizara ya Ardhi na tutatatua shida zao. view
  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Bw. Naibu Spika, sikusema hivyo. Sikusema vile Mbunge wa Wundanyi alivyosema, kwa sababu tukitangazia maskuota habari hiyo, utapata watu walio na ardhi wakijidai kuwa ni maskuota. Kwa hivyo, tuko na mpangilio halisi wa kuhakikisha kwamba wale watu wasio 144 PARLIAMENTARY DEBATES March 29, 2006 na sehemu za ardhi, mambo yao yanaangaliwa sawa sawa. Yule atakayeenda kutangaza, hayo yatakuwa mambo yake. Hata hivyo, tuna mpangilio halisi, na watu wote walio na shida wanafaa kuenda katika ofisi za Wizara ya Ardhi na mambo yao yataangaliwa. view
  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Bw. Naibu Spika, ninajua kwamba jambo hilo ni la dharura. Nitakutana na maofisa wetu pale Kilifi na Mkuu wa Wilaya, ili kuhakikisha kwamba jambo hilo litatatuliwa kwa njia nzuri. SALE OF KENYA WILDLIFE TO THAILAND view
  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Thank you very much, Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, for giving me the opportunity to contribute to this very important Motion. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, at the outset, I want to say the President gave a wonderful Speech with very realistic promises, and not far-fetched as alleged by some Members. A good number of his promises will be implemented within a very reasonable time frame. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I also want to congratulate our athletes who have just returned from Melbourne, Australia, for doing a sterling job during the Commonwealth Games. I think every youth in this ... view
  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, with due respect to my friend, hon. Raila, before I joined this Government, the Government took over the KICC from KANU through an Executive Order. I think we were given this district through an executive order. view
  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I think the hon. Member is just wasting my time. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, looking at the benchmarks that were being expounded in that document, we realise that our GDP growth is about 5 per cent, tourism went up by about 15 per cent, transport and communications about 9 per cent, manufacturing about 4.1 per cent, trade, about 9.5 per cent, building and construction, about 3.5 per cent and horticulture by about 13.2 per cent. This is a great achievement--- view
  • 29 Mar 2006 in National Assembly: Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, an hon. Member was trying to object to what we call Executive Order. However, I am surprised that he was one of the Ministers in retired President Moi's Government, but he never opposed the districts that were created during that period. So, I think sometimes it is hypocritical to talk about things when it is expedient to do so. Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, our economy is really improving; judging from the following benchmarks. Cement consumption in this country went up by about 12 per cent. Also, the credit that went to farmers grew by ... view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus