18 May 2021 in Senate:
Viwanda vinahitaji umeme. Lazima tuwe na umeme wa kutosha. Kwa hivyo, ni lazima turekebishe sekta ya umeme katika taifa letu. Tumeongea na wawekezaji wengi sana katika taifa letu, na wengi wao wanalalamikia bei ghali ya umeme. Tukifanya ushirikiano kwa sekta ya umeme, itarahisisha kufanya biashara katika taifa letu. Hii itafanya tusipoteze wawekezaji kwa sababu ya bei ghali ya umeme. Bi. Spika wa Muda, mhe. Samia aligusia jambo la bomba la gesi litakalotoka Tanzania hadi Kenya. Ni jambo muhimu sana kwa sababu sheria ya swala la fedha za mwaka wa 2021/2022 imesema kwamba kutakuwa na kodi kwa mambo ya gesi. Tunajaribu ...
view
18 May 2021 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate.
view
18 May 2021 in Senate:
Kulikuwa na kutoaminiana na ukiukaji wa haki za kibinadamu. Kuna watu waliokuwa wameshikwa kwa sababu ya siasa. Taarifa kwamba Rais Suluhu Hassan hakuwaachilia walioshikwa kwa sababu ya kupigania haki za binadamu na siasa haikudhibitishwa. Bila kuzingatia dini, chama au siasa, ningemuuliza Rais Suluhu Hassan ajaribu kuwaleta Watanzania pamoja. Kwa sababu yeye ni kiongozi shupavu, ajaribu kurudisha haki za binadamu. Kama kuna watu walishikwa kwa sababu ya siasa, waachiliwe. Katika Hotuba yake, nilisoma kuwa anaheshimu Bunge la Kenya na Kenya kwa ujumla, kwa sababu ya upana wa demokrasia yetu. Tunataka pia kuona upana wa demokrasia ya Tanzania. Tunawatakia kila la heri. ...
view
17 May 2021 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, thank you. Maybe to add on that and before we decide, we have the Committee Report that has already been tabled. I do not know when the governor speaks--- I have also read the Standing Orders---
view
17 May 2021 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, protect me. I do not know why Sen. Murkomen is---
view
17 May 2021 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I have read the Standing Orders and it is not clear as Sen. Khaniri has said. However, my opinion is that there is a report that is already here. We want the governor to speak, but I think to be neat, it is better to react
view
17 May 2021 in Senate:
and respond to what the governor is saying inter alia with the Report that has been tabled by the Committee. This is so that we can be neat then we react and vote. I support.
view
17 May 2021 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, thank you. Maybe to add on that and before we decide, we have the Committee Report that has already been tabled. I do not know when the governor speaks--- I have also read the Standing Orders---
view
17 May 2021 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, protect me. I do not know why Sen. Murkomen is---
view
17 May 2021 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I have read the Standing Orders and it is not clear as Sen. Khaniri has said. However, my opinion is that there is a report that is already here. We want the governor to speak, but I think to be neat, it is better to react and respond to what the governor is saying inter alia with the Report that has been tabled by the Committee. This is so that we can be neat then we react and vote. I support.
view