David Wafula Wekesa

Email

dvdwafula@yahoo.com

Telephone

0722949903

Telephone

0720678540

All parliamentary appearances

Entries 121 to 125 of 125.

  • 18 Apr 2013 in National Assembly: Sisi, wakazi wa Trans Nzoia, tunajivunia sana kilimo, na itakuwa vizuri sana iwapo masuala ya wakulima yataangaziwa. Kila kunapofika wakati wa musimu wa mvua, vifaa vya kilimo, na haswa mbolea, ambayo huletwa nchini kutoka ng’ambo, vinakosekana. Itakuwa vizuri sana tukijiandaa mapema na vifaa vya kilimo ndiyo wakati wa kulima unapowadia wakulima wasihangaike kutafuta vifaa hivyo. Kwa mfano, mahindi hukuzwa Trans Nzoia lakini wakati wa upanzi ukiwadia, utaona kwamba hata mbegu za mahindi hazipatikani. Pia, bei ya mbegu huongezeka wakati huo. view
  • 18 Apr 2013 in National Assembly: Nikizungumzia suala la barabara, miaka kadhaa iliyopita kuna sehemu ambako ng’ombe na mbuzi walikuwa wakilala kwenye barabara lakini kwingineko hakukuwa na barabara za lami. Ukitembelea sehemu ya uwakilishi Bungeni ya Saboti, huwezi kuona hata barabara moja ambayo imewekwa lami kilomita tano. Kuhusu elimu, katika eneo langu la Saboti huwezi kuona shule hata moja yenye kiwango cha mkoa ama kitaifa. view
  • 18 Apr 2013 in National Assembly: Nikizungumzia suala la barabara, miaka kadhaa iliyopita kuna sehemu ambako ng’ombe na mbuzi walikuwa wakilala kwenye barabara lakini kwingineko hakukuwa na barabara za lami. Ukitembelea sehemu ya uwakilishi Bungeni ya Saboti, huwezi kuona hata barabara moja ambayo imewekwa lami kilomita tano. Kuhusu elimu, katika eneo langu la Saboti huwezi kuona shule hata moja yenye kiwango cha mkoa ama kitaifa. view
  • 18 Apr 2013 in National Assembly: Kwa hayo machache, ninaiunga mkono hoja hii. view
  • 18 Apr 2013 in National Assembly: Kwa hayo machache, ninaiunga mkono hoja hii. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus