Harrison Garama Kombe

Born

1956

Post

P.O. Box 276, Malindi, Kenya

Email

hanko56@hotmail.com

Telephone

0723032771

All parliamentary appearances

Entries 361 to 370 of 382.

  • 5 Jul 2006 in National Assembly: Thank you, Mr. Speaker, Sir. The purported owner of the plot has not developed it at all. How can he get preference as opposed to that primary school which has done remarkable development on the plot? The purported owner of the plot has a letter of offer only and not a title deed. view
  • 20 Jun 2006 in National Assembly: On a point of order, Mr. Speaker, Sir. The inquiry was ordered by the Government. The Government is a continuous process. So, is the Assistant Minister in order to say that the former President was the only one who was supposed to release the report, when the NARC Government is in power now? view
  • 20 Jun 2006 in National Assembly: Ahsante, Bw. Naibu Spika wa Muda, kuwa kunipa nafasi kutoa mchango wangu kwa mjadala huu kuhusu Bajeti. Bw. Naibu Spika wa Muda, mengi yamezungumzwa kuhusu mambo ya elimu. Hata hivyo, ningependa kuongeza kwamba elimu ya msingi ambayo tunasema ni ya bure hapa nchini si ya bure. Hii ni kwa sababu Serikali inaigharimia. Kwa hivyo, tukisema elimu ya msingi ni ya bure bado hatuuambii ulimwengu ukweli. Ninegependa kupendekeza kuwa elimu ya msingi igharamiwe na Serikali. Pia ningeiomba Serikali kuunyosha mkono wake na kugharamia elimu ya malezi. Inafaa walimu wa shule za malezi walipwe na Serikali badala ya kulipwa na wazazi. view
  • 20 Jun 2006 in National Assembly: Bw. Naibu Spika wa Muda, sauti yangu inadidimizwa na sauti za wenzangu wengine ambao hawako sakafuni. view
  • 20 Jun 2006 in National Assembly: Ahsante, Bw. Naibu Spika wa Muda, kuwa kunitetea. Nilisema kwamba ingefaa Serikali igharimie pia elimu ya malezi. Hii ni kusema walimu wa nasari walipwe na Serikali ili kuwapunguzia gharama wazazi ndipo waweze kufurahia matunda ya Uhuru. Wakati huu imekuwa ghali mno kumsomesha mtoto katika shule ya malezi, kwa sababu karo yake 1462 PARLIAMENTARY DEBATES June 20, 2006 imefikia kiwango ambapo mzazi analipa Kshs300 kwa mwezi. Hii ina maana kuwa karo ya muhula ni Kshs900 na ya mwaka ni Kshs2,700. Katika mashambani kupata pesa kama hizi ni shida, kwa sababu hali ya uchumi imedidimia zaidi. Ninegependa kuongea juu ya elimu ya ... view
  • 13 Jun 2006 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, trawlers are doing a lot of damage to the local fishermen. The local fishermen have suffered great losses. What is the Assistant Minister doing to compensate the local fishermen, both in Malindi and Lamu Districts? 1276 PARLIAMENTARY DEBATES June 13, 2006 view
  • 13 Jun 2006 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, the Assistant Minister is dodging the question. Instead of telling this House how much money, in form of compensation, the Ministry has paid the local fishermen whose nets have been damaged by the trawlers, he is dodging the question. Is he really in order to avoid that question? view
  • 3 May 2006 in National Assembly: asked the Minister for Finance what he is doing to ensure that the following pensioners are paid their dues: view
  • 3 May 2006 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, I wish to thank the Assistant Minister for the answer. However, why has it taken too long for the Assistant Minister to remit pension for the late Samuel Kalama to the concerned people? view
  • 3 May 2006 in National Assembly: Thank you, Mr. Deputy Speaker, Sir. Some of the pensioners were assisted by the former hon. Member for Magarini and not me. He only handed over the names to me. These are cases pending since 1997 and, yet the law is clear that within 90 days, pensioners have to be paid. What guarantee is there that these people will be paid in the next three months? view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus