16 Feb 2016 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, neno moja halimzuii Seneta---. Nitakuwa nimeenda kinyume cha sheria zetu nikiongea Kiingereza katika sentensi nzima. Sen. (Dr.) Zani ni mwalimu wangu anayetoka eneo la pwani. Kwa hivyo, ni mweledi wa Kiswahili. Kwa hayo, nadhani sijakosea sana. Naomba niruhusiwe kuendelea kunena yale ambayo nilikuwa nanena kwa lugha ya Kiswahili.
view
16 Feb 2016 in Senate:
Bw. Spika wa Muda, neno moja halimzuii Seneta---. Nitakuwa nimeenda kinyume cha sheria zetu nikiongea Kiingereza katika sentensi nzima. Sen. (Dr.) Zani ni mwalimu wangu anayetoka eneo la pwani. Kwa hivyo, ni mweledi wa Kiswahili. Kwa hayo, nadhani sijakosea sana. Naomba niruhusiwe kuendelea kunena yale ambayo nilikuwa nanena kwa lugha ya Kiswahili.
view
16 Feb 2016 in Senate:
Nashukuru, Bw. Spika wa Muda. Bw. Spika wa Muda, nilikuwa nasema kwamba wananchi wa Kenya wameathirika sana jinsi ilivyosemwa kwa vile hakuna elimu ya kutosha, hakuna vifaa vya kutosha na wataalamu wa kutosha. Ninapounga mkono pendekezo hili la kubadilisha sheria, Serikali kuu ikishirikiana na Serikali za kaunti inafaa kulipa jambo hili kipaumbele ndiposa wananchi waweze kushughulikiwa na kusaidiwa kutokana na maradhi haya. Nimesema kuwa ni jambo la umuhimu Serikali kuu ama Rais wa Kenya kulitaja kuwa janga la kitaifa. Nimeangalia mapendekezo kadhaa wa kadhaa ambayo yamewekwa hapa. Tutaangalia mapendekezo machache ambayo yatarekebishwa wakati tutakapokuwa tukijadili Mswada huu. Bw. Spika wa ...
view
16 Feb 2016 in Senate:
Nashukuru, Bw. Spika wa Muda. Bw. Spika wa Muda, nilikuwa nasema kwamba wananchi wa Kenya wameathirika sana jinsi ilivyosemwa kwa vile hakuna elimu ya kutosha, hakuna vifaa vya kutosha na wataalamu wa kutosha. Ninapounga mkono pendekezo hili la kubadilisha sheria, Serikali kuu ikishirikiana na Serikali za kaunti inafaa kulipa jambo hili kipaumbele ndiposa wananchi waweze kushughulikiwa na kusaidiwa kutokana na maradhi haya. Nimesema kuwa ni jambo la umuhimu Serikali kuu ama Rais wa Kenya kulitaja kuwa janga la kitaifa. Nimeangalia mapendekezo kadhaa wa kadhaa ambayo yamewekwa hapa. Tutaangalia mapendekezo machache ambayo yatarekebishwa wakati tutakapokuwa tukijadili Mswada huu. Bw. Spika wa ...
view
11 Feb 2016 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, let me from the onset also support this Motion, other than correcting the Senate Majority Leader for putting the horse before the cart. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes
view
11 Feb 2016 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, our Parliament has origins and precedents from the Commonwealth. The only dictionaries which can be used in this House are those ones which have heavily borrowed from the Commonwealth. This is because our Parliament is grounded on the establishments of Commonwealth---
view
11 Feb 2016 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, let me support this Motion with one reason in mind. The nation of Kenya is very much interested to know the status of oil exploration. Now that the former Senator for Kericho is now the Cabinet Secretary for Energy, and now his nemesis, Sen. Murkomen would be sitting in the Committee for Energy, I am going to come with many questions on the status of exploration. I want to support this Motion so that I will be closely following up with Sen. Murkomen to give Kenyans the answers they need on the exploration of oil. With those ...
view
10 Feb 2016 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I also rise to seek information, now that information is being sought from the Governor of the Central Bank of Kenya (CBK) about what is happening regarding the printing of new notes. I have been trying to access new notes for the past three months. I have never carried old notes in denominations of Kshs500, Kshs200 and Kshs100 for the past 12 years when I travel upcountry. I need an answer from the CBK about why we do not have new notes. They are recycling old notes---
view
10 Feb 2016 in Senate:
Mr. Speaker, Sir, I want it to go on record that we have over 10,000 IDPs in Nyamira. Since we have been told this is the last phase of payments to IDPs, what is the fate of the integrated IDPs in Nyamira County?
view
19 Nov 2015 in Senate:
Mr. Deputy Speaker, Sir, what Sen. (Dr.) Khalwale did not mention are the traditions and precedents of Parliament. Yesterday, when we were looking for quorum, the Senate Deputy Majority Leader told us that the Senate Majority Leader had left.
view