All parliamentary appearances
Entries 41 to 50 of 4219.
-
5 Mar 2025 in Senate:
wa zamani ambao walikuwa 11,909. Pia, walisema ya kwamba Kshs218,000,000 itatumika kulipa councilors ambao walifanya kazi zaidi ya term tatu. Naomba Waziri wa Fedha atueleze kwamba haya mambo yalibadilika lini? Ninajaribu kuongea Kiswahili ndio councilors waweze kuelewa. Hiyo ilibadilika lini? Seneti hii inaweza kujieleza kwa njia mbili. Ya kwanza ni kwa ile Motion . Ya pili ni kupitisha sheria. Seneti hii ilipitisha mkataba ikasema ya kwamba former councilors ambao walikuwa 11,400 waweze kulipwa pesa. Tulikuwa na mikutano hapa na tukazungumza. Waziri wa fedha ambaye alikuwa kabla ya Waziri Mbadi alikuja--- Waziri wa Hazina ya Kitaifa na Mipango ya Kiuchumi, ambaye ...
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
kuondolewa kwa sababu hawa ni watu waliozeeka na hawana faida. Hawa ndio wamefanya tuje hapa. Kama sio hao ugatuzi hungekuja. Ni lini jambo hili lilibadilika? Pili nikimalizia---
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
Bw. Spika hili ni swali moja tu. Kiswahili ndicho kigumu. Naomba unipe ruhusa kwa sababu ningejieleza kwa Kingereza ningekuwa nime flow vizuri.
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
Hon. Mbadi ametueleza kuwa alipata ujumbe kutoka kwa Attorney-General (AG) ya kwamba jambo hili halifai kufanywa. Wakati Mhe. (Prof.) Ndung’u alihudhuria mkutano wa kamati hii, hakuwa amezungumza na AG kumweleza kuwa anakwenda kule na anataka kupewa ushawishi kabla ya kupeleka mkataba huu kwenye baraza la mawaziri. Walieleza kuwa ni lazima wangekuwa Cabinet Secretaries watatu ambao watapeleka joint Cabinet Memo ili pesa hizo ziwekwe kwenye bajeti. Ni lini swala hili lilibadilika? Ama huu ni mchezo wa paka na panya? Leo tunasema tunampa huyu lakini kwa sababu hana ile political clout wanatupwa nje. Maisha ya waliokuwa madiwani ni ya hofu. Ni lazima ...
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
Thank you, Madam Temporary Speaker. I rise to support this report by the Committee on Agriculture, Livestock and Fisheries. As I support this report, I want to appreciate the diligence of the young Kenyan from Bomet who has educated us on what is going on in this country. The reason we have seeds that are prone to diseases is simply because institutions have failed to perform their work. We have an institution called the Kenya Plant Health Inspectorate Service (KEPHIS), which is supposed to provide a service and regulate seeds in this country. However, it appears that for last 12 ...
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
registration system to facilitate the timely approval of seed varieties. The problem we have now is that a cartel heads KEPHIS. When the basic seed approval process takes years who are we protecting? We are definitely not protecting our farmers, but the people who introduce seeds such as maize and beans. They do not want any other variety to be introduced that can adjust to the different changes in our climate. My Bill, which is already being send for pre-publication, will address these issues. I was so happy when I read this report because it is like we are intertwined. ...
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
is only 5 to 8 per cent. What is so hard for millers to mop up that 5 to 8 per cent? They still import wheat from outside the country. Let me appreciate the work of the new Cabinet Secretary for Agriculture, Livestock and Fisheries Development, Hon. Mutahi Kagwe. I am happy that he listened and saw where the problem is. He knew that those people had 260,000 metric tonnes of wheat at the port. However, farmers in Narok, Uasin Gishu and Laikipia have got about 320,000 metric tonnes. They need to go and buy all those bags first before ...
view
-
5 Mar 2025 in Senate:
There is absolutely no reason as to why I should be buying unga wa ugali from Mombasa yet I grow maize in Narok. How many people are in Narok? We have over 1.4 million people. That economy should sustain itself. I am glad that the distinguished Senator for Bungoma is listening. Sometimes it behoves us to think how to devolve all the services. For example, we can take seed inspectorate services to Bungoma, Narok or Bomet counties, so that immediately we realise there is a disease affecting farmers, action is taken locally. If you go the KEPHIS, before they send ...
view
-
4 Mar 2025 in Senate:
Thank you, Mr. Deputy, Speaker, Sir. I would like to comment on two statements. Let me begin with the Statement by the distinguished Senator from Kirinyaga County regarding the status of medical cover for teachers. Right outside, we are seeing demonstrations. Those are medical interns, doctors, who are also raising concerns about their welfare. The issue of welfare on teachers is very important. I hope that the new Chairperson of the Committee on Education will seriously take these matters of insurance. We know that insurance is where many people get money for free. So, we as the entire House, must ...
view
-
4 Mar 2025 in Senate:
The Statement brought by Sen. Cherarkey to my Committee on Health reemphasize the issue that I raised. Many Kenyans raised the same issue as Sen. Mumma. This is the issue of KEMSA on their ability to take drugs all the way to Level 2 Hospitals. Today, we have been told there is a problem of drugs in Nandi County. Tomorrow, it will be Laikipia, Nyandarua or Kirinyaga counties. We need to come up with a solution because SHA is not working---
view