22 Dec 2021 in Senate:
Hon. Chairperson, I beg to move –
view
22 Dec 2021 in Senate:
THAT clause 19 of the Bill be amended in subclause (2) by deleting the words “County Assembly” appearing immediately after the words “The Clerk of the” and substituting therefor the word “Senate”. The rational for this amendment is that the Mover had proposed that, “the Clerk of the County Assembly shall facilitate the public participation and public awareness initiatives of the Senator.” The County Assembly forum felt that that was a function that needed to be facilitated by the Clerk of the Senate. Also, to bring to the notice of the House that incidentally, this Bill had been processed by ...
view
22 Dec 2021 in Senate:
Madam Deputy Speaker, I second.
view
22 Dec 2021 in Senate:
Madam Deputy Speaker, I second.
view
22 Dec 2021 in Senate:
Madam Deputy Speaker, I beg to move that the House do agree with the Committee on the said report and request Sen. Farhiya to second.
view
22 Dec 2021 in Senate:
Madam Deputy Speaker, I beg to move that the House do agree with the Committee on the said report and graciously request Sen. (Prof.) Ongeri to second.
view
22 Dec 2021 in Senate:
Bi. Naibu Spika, ningependa kuwashukuru Maseneta wenzangu kwa kujitolea katika kazi hii ya ujenzi wa taifa. Kuna wale ambao wanadhani ujenzi wa taifa ni kujenga barabara, nyumba au reli. Lakini, taifa linaweza kujengwa kwa sera na sheria ambazo tunapitisha. Ningependa kuwapongeze na kuwashukuru wenzangu kwa sababu kuna sheria mbili ambazo nilileta hapa Seneti na leo zimepitishwa na tunangojea tu kuzipigia kura. Sheria ya kwanza inapendekeza kwamba viongozi katika kila kaunti wawe na kongamanona, wawe wakikutana ili wajadiliane kwa yale maneno ambayo yanahusu hizo kaunti. Mkikumbuka Waheshimiwa Maseneta, sheria kama hio tuliipitisha kwa Seneti ama Bunge la 11. Lakini, Magavana walikimbia ...
view
22 Dec 2021 in Senate:
Sheria ya pili ilikuwa ni kuhakikisha ya kuwa kuna utaratibu mwafaka wa kushirikiana kati ya Serikali ya juu na serikali ya chini, haswa kwa kugawana mamlaka.
view
22 Dec 2021 in Senate:
Tumeona pale Nairobi Kaunti kuna Nairobi Metropolitan Services (NMS) ambayo imepewa mamlaka na madaraka mengine ambayo yalikuwa ya Kaunti ya Nairobi. Nawashukuru wenzangu kwa kuipitisha hio pia. Sheria ya tatu iliyopitia Kamati ya Ugatuzi na Mahusiano kati ya Serikali za Kaunti na Serikali kuu ililetwa na Sen. OleKina. Ni sheria ambayo inaashiria na kuhimiza serikali za kaunti wafanye na waweke sehemu za public participation. Bi. Naibu Spika, leo hii nilijitolea niwe hapa. Hii ni kwa sababu leo hii kuna mwalimu ambaye ni maarufu sana kule kwetu Karachuonyo anaitwa Koyo Orimbo ilikuwa inafaa niende nimuomboleze. Kuna mama ambaye watoto wake wamejitolea ...
view
21 Dec 2021 in Senate:
Mr. Speaker Sir, I beg to lay the following Papers on the Table of the Senate today, 21st December, 2021: -
view