27 Oct 2024 in Senate:
. Baada ya kuingiza ujumbe katika IFMIS, CoB na Ministry of Finance and Economic Planning wanafanya
view
27 Oct 2024 in Senate:
kisha wataeleza kazi aliyofanya yule anayetaka kulipwa. Vile vile, wataeleza
view
27 Oct 2024 in Senate:
na development budgets. Magavana wanafunga watu hao wasilipwe, halafu wanaleta kampuni ambazo wanataka. Wanaleta watu wanaojua na jamaa wao kupewa kandarasi na kuwalipa na kuacha waliofanya kazi miaka mitatu, minne au mitano iliyopita. Shida iliyo Kenya ni hiyo. Kuna maendeleo ambayo tunazungumzia. Katiba yetu ya 2010 ilinuia kuleta usawa katika nchi yetu. Ilinuia kuondoa ufisadi katika maendeleo ya Wakenya, ili tuweze kumaliza umaskini nchini mwetu. Kwa sasa, Serikali ya Kitaifa inachukua asilimia 85 na kupora na kuwapa magava asilimia 15 iliyosalia ambayo pia wanapora. Jiulize ni kina nani wana majumba makubwa kule Kilimani. Magavana wengine wanadhani kuwa wananchi ni wajinga. ...
view
27 Oct 2024 in Senate:
wanayomiliki, lakini hatuwezi kuwa na huruma kwa watu wetu? Ni zaidi ya miaka 60 tangu tupate Uhuru, lakini watu wengine hawana maji ya kunywa. Tulikwenda kule Turkana ambako anatoka Sen. Lomenen. Kufikia sasa, Turkana imepata shilingi bilioni 110, ilhali watu hawana maji ya kunywa mijini baada ya miaka kumi tangu kuwa na ugatuzi. Ni kinaya kuwa hali ni hiyo ilhali kuna maji mengi kutoka Mto Turkwel. Kinachotakikana ni maji kusambazwa kwa wananchi. Wamepata shilingi bilioni 110, ilhali watu hawana maji! Kwa miaka miwili sasa, Kaunti yangu ya Kisii imepata shilingi bilioni 32. Hata hivyo, ukienda kule hamna chochote. Uwanja wa ...
view
27 Oct 2024 in Senate:
kutoka kwa hospitali ndogo ndogo na kubwa kubwa kwa sababu wananchi hawana njia nyingine. Gavana wa Murang’a amefanya kazi nzuri. Anatumia teknolojia kukusanya ushuru kutoka kwa wale ambao wanajenga ama wana nyumba na wale ambao wana-park magari huko. Aliongeza mapato yake kutoka shilingi milioni 200 mwaka uliopita hadi shilingi bilioni 1.5. Sababu ni kuwa wale walio katika kamati ya maendeleo ni vigogo ambao wamekuwa wakifanya biashara kama vile mmiliki wa Benki ya Equity. Asante, Bw. Spika wa Muda, kwa kunipa fursa hii.
view
17 Oct 2024 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. I have two questions to hon. Mutuse. I hold you highly and I do not think you are as idiotic as our colleagues will say. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view
17 Oct 2024 in Senate:
Between the time when the Deputy President was a Member of Parliament (MP) and the time when he became the Deputy President, were you able to see whether there was a deliberate variation in the amounts of money that he was handling? Did you see whether the money that he was handling as an MP, for example, changed then to the money that you brought in, where you are saying that there is some money laundering taking place? Are you able to show that distinction in order for you to make your case? The second question is on the same ...
view
17 Oct 2024 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir. I have a question for Mr. Abdi. In your observation – maybe in just a paragraph – what do you interpret happened about this tender from its inception in terms of the procurement, the management of the exercise and the conclusion? As an officer whose responsibility is to actually investigate if the law was broken and make recommendations to the DPP if necessary, what conclusion did you reach when you are analyzing this matter? Thank you.
view
9 Oct 2024 in Senate:
Thank you, Mr. Speaker, Sir, for giving me the opportunity. I rise pursuant to Standing Order No.53(1) to seek a Statement from the Standing Committee on Health regarding the Integrated Health Information Technology System (IHTS), Project of the Social Health Authority (SHA), which aims to digitise Kenya's health infrastructure by interconnecting patients, doctors, hospitals and health services on a unified platform. The system is going to be worth over Kshs104 billion annually. It was awarded to a consortium comprising of Safaricom, Apeiro Limited and Convergence Network Solutions. In the statement, I would want the committee to- (1) Explain the ownership ...
view
9 Oct 2024 in Senate:
The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate.
view