1 Apr 2015 in National Assembly:
I will read it to you, hon. Speaker.
view
1 Apr 2015 in National Assembly:
I will read it to you, hon. Speaker.
view
25 Mar 2015 in National Assembly:
On a point of order, hon. Speaker.
view
25 Mar 2015 in National Assembly:
Thank you, hon. Speaker. Would I be in order if I beg to lay on the Table of the House--- I lost all my upper finger. Now that it has gotten out, would I be in order to lay it on the Table of the House so that it can be historical in the Eleventh Parliament?
view
25 Mar 2015 in National Assembly:
Hoja ya nidhamu, Naibu Spika wa Muda. Mimi nimekuja hapa kitambo sana ilhali huyu mheshimiwa ambaye yuko kwenye jukwaa---
view
25 Mar 2015 in National Assembly:
Kabla hujaniambia mambo ya leadership, kutoka jana mpaka leo hii kadi yangu imekuwa ikiwaka na hali sijapewa nafasi ya kuongea. Nitapewa lini mimi nafasi ya kuongea ndani ya Bunge hili?
view
25 Mar 2015 in National Assembly:
Hilo ndilo swali ambalo nauliza. Nipe nafasi hata kama ni dakika mbili peke yake. Kwa hivyo niendelee?
view