6 Jul 2016 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I support this Procedural Motion. It is a good thing for us to have this short break to be with members of our families and go to the constituencies to see our brothers and sisters celebrating Eid-Ul-Fitr . We wish them the best as they celebrate. It is also good that we are going home knowing that all of us are back in Parliament doing what we are supposed to do because it is in this period that most of us were in the streets doing demonstrations. Today, we are going on recess having ...
view
7 Jun 2016 in National Assembly:
Asante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda. Ninasimama kuunga mkono Hoja hii kwa sababu tumeona vile NGCDF ilivyosaidia Wakenya wengi, hasa maendeleo katika maeneo Bunge yetu hapa Kenya. Mahali popote unatembea, lazima utaona jengo lililo na alama ya NGCDF. Hili ni jambo nzuri sana kwa sababu linatuonyesha Wabunge wetu wanatumia pesa hizo kwa njia inayofaa. Lingekuwa jambo zuri pia ikiwa kaunti zingeiga mfano wa NGCDF ili magavana wetu wasiwe wanaambiwa saa zote wazitumie zile senti bali wawe na kamati ambayo itatoa mipango ya vile zile pesa zinaweza kutumika. Ni jambo lakushangaza unapopata Wakenya wengine wanaenda kortini kupinga NGCDF na zile ...
view
28 Apr 2016 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman. I rise to support the amendment because it will make it easier for all Kenyans to understand this law with ease. I support the use of the word “edited”.
view
28 Apr 2016 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairlady. I stand to support the amendment made by the Chairman on the Order Paper. It is important that we know the exact period of time instead of just putting the word “regularly”. So, doing it after every three years will be good enough for every Kenyan to understand. Thank you.
view
28 Apr 2016 in National Assembly:
The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view
14 Apr 2016 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I stand to speak on the President’s State of the Nation Speech. It is a requirement in our Constitution that the President has to address the Republic of Kenya. I will talk on corruption scandals and incompetence in our institutions. We needed to hear much more on issues of corruption. Yes, it is not the President who tells people to engage in corruption but he needed to address this issue so that the people being involved can be arrested so that they are out of our society. The other issue that I expected to ...
view
14 Apr 2016 in National Assembly:
It is good to always listen to the Opposition. Just listen to them because by listening, you pick the issues they have so that you can sit on the table and see how you can solve them. So, it is very important that we listen to one another. Let us listen to what the Government is talking about and let the Government also listen to what the Opposition is talking about. That way, they can sit down and address those issues so that next time they come, they will tell us the state of the nation---
view
13 Apr 2016 in National Assembly:
Ahsante sana Mhe. Naibu Spika wa Muda. Nasimama kuunga mkono Hoja hii ambayo imeletwa na Mhe. Ottichilo. Tukiangalia hali ya mazingira katika nchi yetu ya Kenya, wakati umefika sisi kama Wakenya tuangalie namna tutakavyobadilisha mazingira yetu. Itakuwa vyema kama akina mama ambao wanafanya biashara katika barabara zetu kuu wataangalia mazingira baada ya kufanya biashara kabla ya kwenda nyumbani na kuacha sehemu ambayo wametumia kuwaletea chakula kila siku ikiwa safi. Ingekuwa vyema zaidi kama wangeangalia namna ya kutoa takataka hizo na kuzichoma katika hali inayotakikana ili tulinde mazingira yetu. Wakati mmoja, Nairobi ilikuwa inajulikana kama sehemu yenye rangi ya kijani kibichi ...
view
13 Apr 2016 in National Assembly:
Nasimama kusema kuwa naunga mkono Hoja hii ambayo imeletwa na ndugu yetu, Mhe. Ottichilo. Namuombea Mwenyezi Mungu amshike mkono ili mwaka wa 2017 awe gavana kwa sababu tunaona kuna mwangaza mzuri.
view
12 Apr 2016 in National Assembly:
Thank you, Hon. Temporary Deputy Speaker. I stand to support this Bill. I also take this opportunity to salute the starlets who have made history as the first Kenyan women team to defeat Nigeria in the Africa Cup of Nations (AFCON) qualifiers. It is the right The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view