All parliamentary appearances

Entries 11 to 20 of 25.

  • 23 Jun 2016 in National Assembly: Mhe. Naibu Spika wa Muda, ninaunga mkono Mswada huu. view
  • 3 May 2016 in National Assembly: I support what Hon. Joyce Emanikor has explained on that Bill. I have understood what she has explained and it is important that, that cause be the way she has explained. I support. view
  • 27 Apr 2016 in National Assembly: Ahsante sana, Mhe. Naibu Spika wa Muda. Naungana pamoja na wenzangu ambao wamenitangulia. Nchi ya Kenya iko na sehemu nyingi tofauti. Kuna sehemu ambazo in kavu and zingine hupata mvua nyingi. Kwa hivyo, sehemu hizo hazifanani. Tukiongea kuhusu chakula na mimea, sehemu hizo zote zinahitaji wanasayansi waangalie kwa makini ili kujua ni sehemu gani zitapandwa mbegu ambazo zitafanya vizuri. Mbegu zetu za kiasili zina manufaa kwa sababu zinatupatia nguvu na zilitumiwa na wazazi wetu. Tukiangalia mbegu kama wimbi na mtama zinaweza kumea kwenye sehemu kame. wanasayansi wetu nchini wamechukulia mambo hayo kiholela na wanataka kuleta mbegu The electronic version of ... view
  • 27 Apr 2016 in National Assembly: zingine ambazo zinamea kwa haraka. Lakini, hata hivyo, zinaweza kuharibu na kuadhiri afya ya wananchi. Kuna mimea ambayo ni chakula and kuna mimea ambayo ni dawa. Hapo zamani, ugonjwa wa homa ya matumbo ulikuwa ukitibiwa na pombe aina ya busaa. Watu walitumia busaa hata kwa mtoto akiwa na ugonjwa huo. Walikuwa wanampatia huo mvinyo na anapona. Pia, wakifinya machicha ya pombe hiyo, walipaka kwenye sehemu yoyote ya mwili ambayo iko na shida na watu walipona. Ni kitu rahisi ambacho kinachukua muda mfupi na hakidhuru mwili. Kuhusu sayansi, kuna ulegevu na kutojali ama kutofikiria vizuri. Wanasayansi wetu wangechukua muda kufikiria na ... view
  • 29 Mar 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman. This is a straight forward amendment which the Committee Chair has explained clearly. I support. view
  • 17 Mar 2016 in National Assembly: Thank you, Hon Temporary Deputy Chairman for giving me this chance. I support the amendment. It is a straightforward issue, but we need more clarification on the abortion issue. view
  • 16 Mar 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairlady. First of all, I want to congratulate the Chair and the Committee. This is a straightforward amendment. I, therefore, support it. view
  • 2 Mar 2016 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman. Before I say whether I support this amendment or not, I need some clarification. If the kilogrammes are going to be reduced to 50, what about the prices? For example, maize is packed in 90-kilogramme bags. If the price is going to be the same, then I support. view
  • 7 Oct 2015 in National Assembly: Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman. I want to support the amendment moved by Hon. Sakaja. I happen to sit in that Committee. We dwelt on it and I would like to request you, my colleagues to support this amendment. The amendments will be done later. We understand that the counties are great employers in this country today. So, it is not that we did not see it, but we have a reason for making it the way it is. Thank you, Hon. Temporary Deputy Chairman. view
  • 2 Apr 2015 in National Assembly: Thank you. I support. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus