6 Nov 2024 in National Assembly:
Shukrani, Mhe. Spika wa Muda. Nakubaliana na ndugu yangu, Mohammed Adow. Pia, namsikitikia sana mwenzetu aliyejaribu kujibu hilo swali kwa niaba ya idara husika. Nimesikiliza majibu yake na ni ya kukasirisha kidogo. Ukweli ni kwamba kuna fedha taslimu ambazo zimeachwa katika idara hii ili kushughulikia maneno ya sehemu kame katika kukuza chakula ili tusiwe watu wa kuombaomba. Saa zingine, watu wetu wanawekwa kwa aibu. Kila siku wanasimama na gunia kungoja kupewa kilo moja au mbili za mahindi. Majibu waliyopeana yanakera sana na haina msingi yeyote. Saa zingine pia, wenyeviti wa kamati wawe waangalifu wasije wakadhalilishwa na hawa mawaziri kwa kupeana ...
view
6 Nov 2024 in National Assembly:
Thank you. I want to thank the Vice-Chair of the Departmental Committee on Agriculture and Livestock for attempting to respond to the statement request. However, again, it goes without saying that the response is shallow and annoying. This is because ADC Mutara is a 63,000 acres piece of land in Laikipia. Clearly, the The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view
6 Nov 2024 in National Assembly:
intention of the Government, in having such a parastatal there, was to undertake breeding and upgrading of the breeds of the neighbouring communities. It is an open secret that, as we speak, the ADC Mutara Farm does not have a single cow. A whole parastatal that is being run using taxpayers' money has less than 1,000 goats. It does not make sense to have it there. To make the matters worse, the Corporation has leased the land to M/s Waragus Limited, who purported to be livestock keepers, but who are now sub- leasing grass to the local community. If my ...
view
5 Nov 2024 in National Assembly:
On a point of order, Hon. Temporary Speaker.
view
5 Nov 2024 in National Assembly:
Pursuant to the provision of Standing Order 44(2)(c), I wish to follow up on a request for statement that I sought on 26th September.
view
5 Nov 2024 in National Assembly:
Hon. Temporary Speaker, pursuant to the provision of Standing Order 44(2)(c), I wish to follow up on a request for statement that I sought on 26th September 2024 from the Chairperson of the Departmental Committee on Agriculture and Livestock Development regarding the leasing of Agricultural Development Corporation (ADC) land to a private investor. You will recall that I was seeking the details of the private investor that the ADC leased 15,000 acres of land to in Rumuruti, Laikipia County; a report on the procedure followed by The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified ...
view
5 Nov 2024 in National Assembly:
ADC in leasing of the said property, including a report on public participation conducted, if any; and, the steps to be taken to reverse the lease if it is determined to have been pre-arranged. I, therefore, seek your indulgence to ask the Chairperson to explain why the Committee has inordinately delayed the response to this request for statement that seeks the details of the private investor that the ADC leased 15,000 acres of land to in Rumuruti, Laikipia County, considering that the response period of 21 calendar days as stipulated in the Standing Order 44(2)(c) has lapsed. I want to ...
view
18 Sep 2024 in National Assembly:
Shukran, Mhe. Spika wa Muda. Naungana na wenzangu kuunga mkono Ripoti ya Kamati ambayo imewasilishwa mbele yetu. Nikiwa The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor.
view
18 Sep 2024 in National Assembly:
mwanakamati wa Kamati hii, tulimhoji Inspekta Mkuu wa awali. Ukweli ni kwamba, umahiri na ukakamavu aliyonao bwana huyu katika kuyatekeleza majukumu yake ni wa hali ya juu sana. Aliitikia wito wake, maanake kuwa askari pia ni wito, kwa umri mchanga. Alifanya kazi katika sehemu kama Lokichogio, Kapedo na kwingineko. Hamna anayeelewa vizuri zaidi hali ya usalama kaskazini mwa nchi yetu na pale ambapo hali ya usalama imetukera sana sisi wenyeji kama Bw. Kanja. Alipokuwa Naibu Inspekta Mkuu, ilikuwa rahisi mno kumfikia kuliko kumfikia kamanda wa polisi katika kaunti yako. Kwa hivyo, anastahili na anaweza kazi. Sio kwa sababu anatoka mahali ...
view
16 Apr 2024 in National Assembly:
Hon. Speaker
view