Yusuf Haji

Parties & Coalitions

Full name

Yusuf Mohammed Haji

Born

23rd December 1940

Died

15th February 2021

Post

41842 Nairobi Kenya

Post

Parliament Buildings
Parliament Rd.
P.O Box 41842 – 00100
Nairobi, Kenya

Email

ijara@parliament.go.ke

Telephone

0722709395

Telephone

0711269388

All parliamentary appearances

Entries 1501 to 1510 of 1714.

  • 31 Mar 2010 in National Assembly: On a point of order, Mr. Deputy Speaker, Sir. Is the hon. Member in order to say that the Attorney-General was saying “Ayes” when he was, indeed, yawning? Is the Attorney-General not allowed to yawn? view
  • 31 Mar 2010 in National Assembly: Mr. Deputy Speaker, Sir, I beg to support. view
  • 31 Mar 2010 in National Assembly: This amendment is very important. It is unfortunate and it is a very dark day for this country that the question of national security is being trivialised. I want to urge hon. view
  • 30 Mar 2010 in National Assembly: Ahsante sana, Bw. Naibu wa Spika. Kwa muda mrefu, Kenya ni taifa ambalo limekuwa likijigamba eti linaheshimu demokrasia na lina umoja mpaka mwaka wa 2007 tulipokuwa na matatizo baada ya uchaguzi. Tangu wakati huo, inaonekana nchi hii imegawanywa kwa misingi ya kikabila, kidini na kisiasa. Ninasema hivyo kwa sababu ijapokuwa tumekuwa na Katiba kwa miaka zaidi ya 40, wengi waliozungumza hapa wamesema kwamba kwa muda wa miaka 20 tumekuwa tukipigana kubadilisha Katiba. Kama alivyosema Bw. Naibu wa Spika, Katiba ni karatasi. Kama chombo chochote kile, karatasi inaweza kutumika vizuri au vibaya. Hadi Wakenya watakapokubali kubadilisha mienendo yao, kwa mfano, kukataa ... view
  • 30 Mar 2010 in National Assembly: Ahsante, Bw. Naibu wa Spika. Hakuna mtu ambaye amesema kwamba Katiba tuliyo nayo leo imefanya jambo hili na lile. Ninasema hivyo kwa sababu wenye kufanya mambo ni watu binafsi. Wao ni Wakenya ambao walikuwa kwenye madaraka. Katiba haijaharibu kitu. Isitoshe, Katiba mpya inayopendekezwa ina vipengele vingi ambavyo vikipitishwa vitaweza kuleta moto katika nchi hii. Kuna kipengele kinachohusika na usalama ambacho kinasema kwamba kila mtu ana haki ya kuadamana. Kuna kipengele vile vile ambacho kinasema kwamba Bunge linaweza kurekebisha hicho kipengele kwa kuunda sheria ya kuyatoa majeshi, polisi na maofisa wa jela. Ikiwa kwa bahati mbaya Bunge linavunjwa ama linakwenda mapumzikoni ... view
  • 23 Mar 2010 in National Assembly: On a point of information, Mr. Speaker, Sir. view
  • 23 Mar 2010 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, he has accepted. view
  • 23 Mar 2010 in National Assembly: Mr. Speaker, Sir, although this ammunition is manufactured at Eldoret, the Army sells it to all Government and international institutions. Therefore, there is no reason that the officers there should be removed. view
  • 11 Mar 2010 in National Assembly: I am not aware, Mr. Speaker, Sir. view
  • 10 Mar 2010 in National Assembly: On a point of Order, Mr. Deputy Speaker, Sir. Is the hon. Member in order to mislead the House? I am one of the cabinet Ministers and hon. Ojode is an Assistant Minister and there are several Ministers here. view

Comments

(For newest comments first please choose 'Newest' from the 'Discussion' tab below.)
comments powered by Disqus