4 Dec 2012 in National Assembly:
Bi Naibu Spika wa Muda, wenzangu wanapiga kelele.
view
4 Dec 2012 in National Assembly:
Ahsante, Bi. Naibu Spika wa Muda.
view
4 Dec 2012 in National Assembly:
Kwa hivyo, vijana wetu wana haki ya kujiandikisha na kupiga kura kwa sababu wao ni wazaliwa wa nchi hii. Tatizo la kutokuwa na vitambulisho si tatizo lao. Ni tatizo la Serikali ambayo imeshindwa kufanya kazi yake, haswa Wizara inayohusika na usajili wa watu. Kwa hivyo, tusiwaadhibu vijana wetu ambao wana haki ya kushiriki kwenye demokrasia ya nchi yao na kupiga kura.
view
4 Dec 2012 in National Assembly:
Kuhusu suala la vyama, kama walivyosema hapa wahe.Wabunge ni kweli kwamba kunatatizo. Kama vyama, tumewaandikisha watu wengi sana lakini ukienda kwenye afisi ya usajili wa vyama utaona kwamba ni watu wachache tu waliosajiliwa ilhali ukienda mitaani utaona kwamba kila mtu anabeba kitambulisho cha chama chake. Kwa hivyo ni lazima turekebishe hali hiyo ili vijana wetu waweze kupata haki ya kushiriki kwenye demokrasia na kumiliki demokrasia ya nchi yetu. Hatutaki vijana waachwe nje.
view
4 Dec 2012 in National Assembly:
Pia, kwenye upande wa vyama, tunataka wote waliosajiliwa waandikishwe na vyama vyao na waweze kushiriki kwenye uchaguzi unaokaribia bila ya pingamizi yoyote. Ahsante, Bi Naibu Spika wa Muda.
view
21 Nov 2012 in National Assembly:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I support the move to investigate and discuss this issue at the Committee level. We have a crisis of law and order in our country and there is urgent need for us to develop measures and arrest the growing crisis. I witnessed how fragile our society is in my constituency in the last few days where there was a tragedy - a matatu bomb blast in which we lost ten people. It was followed by a rampage that left a trail of death and destruction in that neighbourhood. This is a micro case of what would ...
view
25 Sep 2012 in National Assembly:
) to ask the Minister for Local Government:- (a) Is the Minister aware that the Muthurwa Social Hall also known as the Muthurwa Community Centre has been irregularly allocated to private developer(s) by the Nairobi City Council?
view
19 Sep 2012 in National Assembly:
Mr. Deputy Speaker, Sir, I beg to ask the Minister for Local Government the following Question by Private Notice. (a) Is the Minister aware that Muthurwa Social Hall, also known as the Muthurwa Community Centre, has been irregularly allocated to private developer (s) by the Nairobi City Council? (b) What action will the Minister take to ensure that this historic public building reverts to the public?
view
19 Sep 2012 in National Assembly:
Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, I wanted to contribute to what the Assistant Minister said by asking him what the Government is doing given the fact that it is causing a lot of suffering. Apart from the suffering, these IDPs are unproductive and idle. They could easily be productive people who could be contributing to improving their lives and also our economy yet it has taken so many years for the Government to resettle them. I want to give him the benefit of doubt - that they can do so between now and December? Is he being realistic by giving ...
view
19 Sep 2012 in National Assembly:
Mr. Temporary Deputy Speaker, Sir, but even then, next year is just
view